Walimu Kenya kurudi kazini leo
NAIROBI, KENYA
VYAMA vya walimu nchini vimetii agizo la mahakama, na hivyo kutangaza kusitisha mgomo na kuwaomba walimu kuripoti kazini kuanzia leo.
Katibu Mkuu wa Chama cha Taifa cha Walimu (KNUT), Wilson Sossion aliwataka walimu wote waliokuwa kwenye mgomo kurudi darasani akisema kuwa leo ni mwanzo mpya wa muhula wa tatu.
Aidha Chama cha Walimu wa Taasisi za Kati (KUPPET) pia kiliwaomba wanachama wake kurejea kazini.
Hata hivyo, Sossion alisema bado wana hofu kuwa serikali inalenga...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Walimu wakataa kurudi kazini
10 years ago
BBCSwahili06 May
Aliyetoa siri ya ngono CAR kurudi kazini
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Katibu Mkuu Elimu afungua Mafunzo Kazini kwa Walimu, atembelea shule na vyuo mkoani Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wFV_ymyNtNU/Uvkq6V321MI/AAAAAAAFMPY/mmjgM0owzyg/s1600/unnamed+(44).jpg)
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Wakimbizi Kenya waagizwa kurudi kambini
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-mbM79Ryxvvs/XkWMbEIiqpI/AAAAAAACyh4/j2L_rVzEw0U_yO4pXLEVvz6rWB5qXUpGgCLcBGAsYHQ/s72-c/_110891304_4495bf3c-f1f5-4506-8f2f-4899a0bf998f.jpg)
KENYA YAWATIMUA WACHINA WANNE KWA KOSA LA KUMCHAPA VIBOKO MKENYA ALIYECHELEWA KAZINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-mbM79Ryxvvs/XkWMbEIiqpI/AAAAAAACyh4/j2L_rVzEw0U_yO4pXLEVvz6rWB5qXUpGgCLcBGAsYHQ/s640/_110891304_4495bf3c-f1f5-4506-8f2f-4899a0bf998f.jpg)
Raia wanne wa china waliokamatwa na Mkurugenzi wa idara ya upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) wanatarajiwa kurudishwa kwao baada ya amri iliyotolewa na Waziri wa mambo ya ndani wa Kenya Fred Matiang'i.
Agizo hilo lilisainiwa na Matiang'i Jumatano baada ya mahakama kuruhusu polisi kuwashikilia wachina wanne kwa siku 15 huku uchunguzi ukiendelea juu ya tukio la kumchapa viboko raia wa Kenya aliyekua akifanya kazi katika mgahawa ulioendeshwa na Wachina hao mjini Nairobi.
Raia hao wa china...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-61oIEJ8NQeQ/UyQ7a6zxwrI/AAAAAAAAMYw/wxmdJncRaV8/s72-c/IMG-20140311-WA0001+(1).jpg)
Maisha Plus kurudi tena hewani TBC 1 leo!
![](http://3.bp.blogspot.com/-61oIEJ8NQeQ/UyQ7a6zxwrI/AAAAAAAAMYw/wxmdJncRaV8/s1600/IMG-20140311-WA0001+(1).jpg)
Akizungumza mapema asubuhi hii katika mkutano na wanahabari, Mratibu wa shindano hilo ambalo mwaka huu limepewa jina la Maisha Plus Rekebisha, Ally Masoud `Kipanya', amesema baada ya kukaa chini na uongozi wa televisheni hiyo, wamekubaliana kimsingi kutangaza ratiba itakayokuwa rasmi ambayo...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Walimu wasitisha mgomo Kenya
10 years ago
Habarileo30 Jun
Walimu Watanzania wakamatwa Kenya
WALIMU wawili wapya wa Shule ya Msingi Sang’ang’a kata ya Pemba tarafa ya Inchugu wilayani Tarime, mkoani Mara wanashikiliwa nchini Kenya kwa kosa la kuingia nchini humo bila kuwa na kibali.