Okwi huru kucheza Simba
Utata wa Emmanuel Okwi umemalizwa rasmi na mchezaji huyo wa Uganda sasa yupo huru.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ws8ZUKcMJII/U_9lIrjSr2I/AAAAAAABLxA/PuEl3wjc1g4/s72-c/IMG_2204.jpg)
OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MIvenAIG-mQ/Vafy7AtF1_I/AAAAAAABduA/20bo7ddnuiQ/s72-c/MONALISA-2.jpg)
SIMBA DAY 2015 SIMBA KUCHEZA NA AFC LEOPARDS, KIINGILIO BURE
![](http://4.bp.blogspot.com/-MIvenAIG-mQ/Vafy7AtF1_I/AAAAAAABduA/20bo7ddnuiQ/s640/MONALISA-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cU7QaDzQTeg/Vaf0VrAplgI/AAAAAAABduM/tIA4SPj_vjo/s640/ODAMA.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Simba Day 2015 Simba kucheza na Leopards, kiingilio bure!
![SIMBA DAY 2015 Simba Kucheza na AFC Leopards, Kiingilio bure.](http://simbasports.co.tz/file/2015/07/simba-sports-club.png)
Afisa Mtendaji Mkuu wa EAG Group, Imani Kajula akiwa Pamoja na Rais wa Simba Sport Club, Evans Aveva, wakati wa uzinduzi wa Simba Day.
Dhima ya Simba Sports Club ya kuendeleza mabadiliko ndani ya Simba bado inaendelea kushika kasi, Katika kipindi cha miezi mitatu sasa, mmekuwa mashuhuda wa Simba inayolenga kuleta mapinduzi makubwa katika jinsi mpira unavyoendeshwa, kujali wanachama, wapenzi wake na kukuza vyanzo vya mapato.
Akizungumza wakati wa kutangaza rasmi Simba Week 2015 Rais wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oYC2ZJwDNBI/VAyMc79F7aI/AAAAAAAGhJs/sN79hbNTLK0/s72-c/IMG_2212.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZ: MKATABA WA YANGA, OKWI HAUPO NA SASA YUPO HURU KUCHEZEA TIMU YOYOTE AITAKAYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-oYC2ZJwDNBI/VAyMc79F7aI/AAAAAAAGhJs/sN79hbNTLK0/s1600/IMG_2212.jpg)
9 years ago
Habarileo07 Jan
Simba kucheza na Burkinafaso FA
TIMU ya Simba itacheza na Burkinafaso na Yanga itacheza na Friends Rangers kwenye Michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), mzunguko wa tatu unaotarajiwa kuendelea Januari 12 na Januari 23-27 kwa timu 32 kuchuana kuwania kufuzu kwa hatua ya 16 bora.
11 years ago
Mwananchi12 Dec
KMKM kucheza na Yanga, Simba
9 years ago
Habarileo21 Aug
Simba, Mwadui kucheza Dar
SIMBA watacheza mchezo wa kirafiki na Mwadui FC ya Shinyanga Jumatatu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOKpUcWNJ7gv2-3PqynyjfYgmTTuFKV14FzXrAGNzneecjKfoYqSR6VRBXjX12w-64miLL9CQSfbqsSYrRKTUZyv/simbasc.jpg?width=650)
SIMBA KUCHEZA NA MTIBWA TAIFA JUMAMOSI