Julio atamba Mwadui itazinduka
KOCHA Mkuu wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amezionya timu za Ligi Kuu akizitaka zisiidharau timu yake kwa vile imefungwa mechi ya ufunguzi. Mwadui FC ilifungwa bao 1-0 na Toto African kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza katika ufunguzi wa Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Sep
Julio atamba Mwadui kuwamo nne bora
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Mwadui ya Shinyanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ametamba timu timu yake itamaliza ligi kwenye nafasi nne za juu msimu huu wa 2015-2016 unaoanza kesho.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXxvHWWFlsLF6MWL6eE07gy8agK9N0KdqkarCrJyyDdITNWXTBOzwzgcLQ9psvxHvBI4YdpghBvNGBIZ7YrRyXu/JULIO.jpg?width=650)
JULIO ATAMBA KUMKALISHA MINZIRO
10 years ago
Habarileo12 Aug
Julio atamba kufanya maajabu
KOCHA Mkuu wa Mwadui ya Shinyanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema timu yake itashangaza wengi kwenye Ligi Kuu.
10 years ago
Mwananchi20 Feb
Julio awaita Tegete, Nizar wasaini Mwadui
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Julio atamba kumfukuzisha kazi Kerr
Kocha wa timu ya Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’.
Said Ally,
Dar es Salaam
WAKATI taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Simba zikidai kumpa mechi nne tu kocha wao, Muingereza, Dylan Kerr kuhakikisha anapata matokeo ya ushindi, kocha wa timu ya Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, ametamba kuwa ataanza kumfungisha virago Mzungu huyo kwa kukifunga kikosi chake.
Muingereza, Dylan Kerr.
Simba na Mwadui zinatarajia kukutana kesho Jumamosi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao utapigwa kwenye...
9 years ago
StarTV25 Aug
Tazama taswira za mechi ya kirafiki kati ya Simba na Mwadui ya Julio
9 years ago
Habarileo25 Dec
Siiogopi Mwadui - Kerr
KOCHA wa Simba Dylan Kerr amesema haiogopi Mwadui na kwamba wachezaji wake wapo tayari kupambana nayo kesho. Simba kesho itakuwa ugenini kwenye uwanja wa Kambarage Shinyanga kumenyana na Mwadui iliyo chini ya kocha wa zamani wa timu hiyo, Jamhuri Kihwelo, Julio.
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Costa aishangaa Mwadui
9 years ago
Habarileo10 Sep
Mwadui kutisha Ligi Kuu
TIMU ya Mwadui FC kati ya timu nne zilizopanda msimu huu inapewa nafasi ya kuleta upinzani mkali katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na kusajili wachezaji wenye uzoefu.