Julio atamba kufanya maajabu
KOCHA Mkuu wa Mwadui ya Shinyanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema timu yake itashangaza wengi kwenye Ligi Kuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXxvHWWFlsLF6MWL6eE07gy8agK9N0KdqkarCrJyyDdITNWXTBOzwzgcLQ9psvxHvBI4YdpghBvNGBIZ7YrRyXu/JULIO.jpg?width=650)
JULIO ATAMBA KUMKALISHA MINZIRO
9 years ago
Habarileo15 Sep
Julio atamba Mwadui itazinduka
KOCHA Mkuu wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amezionya timu za Ligi Kuu akizitaka zisiidharau timu yake kwa vile imefungwa mechi ya ufunguzi. Mwadui FC ilifungwa bao 1-0 na Toto African kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza katika ufunguzi wa Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita.
9 years ago
Global Publishers25 Dec
Julio atamba kumfukuzisha kazi Kerr
Kocha wa timu ya Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’.
Said Ally,
Dar es Salaam
WAKATI taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Simba zikidai kumpa mechi nne tu kocha wao, Muingereza, Dylan Kerr kuhakikisha anapata matokeo ya ushindi, kocha wa timu ya Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, ametamba kuwa ataanza kumfungisha virago Mzungu huyo kwa kukifunga kikosi chake.
Muingereza, Dylan Kerr.
Simba na Mwadui zinatarajia kukutana kesho Jumamosi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao utapigwa kwenye...
9 years ago
Habarileo11 Sep
Julio atamba Mwadui kuwamo nne bora
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Mwadui ya Shinyanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ametamba timu timu yake itamaliza ligi kwenye nafasi nne za juu msimu huu wa 2015-2016 unaoanza kesho.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2Maqbh7BpQV6XnmkzlF-3Rm9bd2lQS81vGIIuILFkj-6uwJILHcSkBf*PxvanikpGxDb4cqnavNI0jtaf4l92caHySO/Bella.jpg)
BELLA KUFANYA MAAJABU DAR LIVE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeE*0il56qQaZ*jPW9nay11rMI0ogUxDBMG7ZyT4SXoozpOYL8WJeX8XeEyLeHZtfqxk*L5NuYa3Ddh9kfmMpN1V/tamasha.jpg)
YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU KITAIFA
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Mc Pilipili,Ben Pol kufanya maajabu Boxing Day
MC Pilipili akiwa na Ben Pol.
MWANDISHI WETU
MCHEKESHAJI maarufu Bongo, MC Pilipili anatarajia kufanya shoo baab’kubwa ya kuchekesha siku ya Boxing Day, Desemba 26, mwaka huu mjini Dodoma itakayofahamika kwa jina la Night Stand Up Comedy.
Akiizungumzia ‘event’ hiyo, MC Pilipili alisema kupitia kampuni yake ya Pilipili Events, watafanya shoo kubwa ya kuchekesha ambayo haijawahi kutokea Bongo hivyo mashabiki wa komedi na wapenda burudani kwa jumla, wafike kwa wingi siku hiyo katika Ukumbi wa...
11 years ago
Michuzi26 Jul
YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU TAIFA USIKU WA MATUMAINI
![](http://api.ning.com/files/mrjGDDFzeeE*0il56qQaZ*jPW9nay11rMI0ogUxDBMG7ZyT4SXoozpOYL8WJeX8XeEyLeHZtfqxk*L5NuYa3Ddh9kfmMpN1V/tamasha.jpg)
![](http://api.ning.com/files/mrjGDDFzeeEfi*GtZE0505mBZ8STR-ENuwO-wTL4TDsjG0Mwvf8k0-2VPDXUd79MTEFOwTZPmCTMzKxhl9ZZPuotamgDq2*s/YemiAlade_FashionPlus.jpg?width=650)
Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade kudondosha shoo ya...