YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU KITAIFA

WAKATI hamu ya mashabiki kila kona kwa sasa ni Agosti 8, mwaka huu katika tamasha kubwa la kihistoria la Usiku wa Matumaini litakalofanyia Uwanja wa Taifa jijini Dar, mashabiki wengi wanatamani kuwaona wakali kibao wakipanda jukwaani na kupiga nyimbo zao kali. Diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Jul
YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU TAIFA USIKU WA MATUMAINI


Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade kudondosha shoo ya...
11 years ago
GPL
SHILOLE: YEMI ATAFIA UGENINI
11 years ago
GPL
YEMI: NAKUJA KUMTEKETEZA SHILOLE
11 years ago
GPL
MAAJABU! SHILOLE: SIKUMPA PENZI BARNABA
10 years ago
Bongo505 Oct
Shilole apanga kumshirikisha Yemi Alade
9 years ago
Bongo521 Dec
Shilole aingia studio na producer wa Yemi Alade, Selebobo

Staa wa muziki nchini, Shilole ameingia studio na producer wa hit single ya Yemi Alade (Johnny) Selebobo wa Nigeria kurekodi wimbo mpya.
Shilole ambaye yupo nchini Nigeria, ameiambia Bongo5 kuwa kila kitu kimeenda sawa na usiku wa Jumamosi waliingia studio.
“Tunaingia leo (Jumamosi) usiku studio. Nimezungumza naye nimemwonesha ngoma zangu na ametokea kupenda kazi zangu, kwahiyo kwa kifupi mashabiki wangu wategemee mambo mazuri hasa hasa kolabo,” alisema.
Shilole amesema safari yake ya...
11 years ago
GPL
TAMASHA LA MATUMAINI 2014... SHILOLE KUMFUNIKA YEMI ALADE
11 years ago
GPL28 Jul
SHILOLE: TUKUTANE UWANJA WA TAIFA MUONE NINAVYOCHUANA NA YEMI ALADE
10 years ago
Habarileo12 Aug
Julio atamba kufanya maajabu
KOCHA Mkuu wa Mwadui ya Shinyanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema timu yake itashangaza wengi kwenye Ligi Kuu.