Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAAJABU! SHILOLE: SIKUMPA PENZI BARNABA

Stori:  Erick Evarist
MAAJABU! Licha ya ulimwengu wa burudani Bongo kuamini kwamba staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ aliwahi kuanguka dhambini kwa Mbongo-Fleva, Elias Barnaba, mwanadashosti huyo ameibuka na kudai kuwa hakuwahi kumpa penzi. Shilole akifanya mahojiano na Global TV Online. Shilole anayetamba na Ngoma ya Nakomaa na Jiji, amefunguka hayo kupitia Global TV Online ambapo mahojiano hayo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU KITAIFA

WAKATI hamu ya mashabiki kila kona kwa sasa ni Agosti 8, mwaka huu katika tamasha kubwa la kihistoria la Usiku wa Matumaini litakalofanyia Uwanja wa Taifa jijini Dar, mashabiki wengi wanatamani kuwaona wakali kibao wakipanda jukwaani na kupiga nyimbo zao kali. Diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki...

 

11 years ago

Michuzi

YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU TAIFA USIKU WA MATUMAINI

WAKATI hamu ya mashabiki kila kona kwa sasa ni Agosti 8, mwaka huu katika tamasha kubwa la kihistoria la Usiku wa Matumaini litakalofanyia Uwanja wa Taifa jijini Dar, mashabiki wengi wanatamani kuwaona wakali kibao wakipanda jukwaani na kupiga nyimbo zao kali.Diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade
Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade kudondosha shoo ya...

 

10 years ago

GPL

Penzi la Shilole na Nuh layeyuka

Bongo Fleva na mwigizaji, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole a.k.a Shishi Beiby na msanii mwenzake Nuh Mziwanda. LILE penzi lililotikisa Bongo kati ya mwanadada mrembo ambaye ni msanii wa Bongo Fleva na mwigizaji, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole a.k.a Shishi Beiby na msanii mwenzake Nuh Mziwanda, limevunjika ghafla wikiendi iliyopita. Soma zaidi ====>http://bit.ly/1HEbRcq ...

 

11 years ago

GPL

BARNABA, SHILOLE NGOMA DROO AVUTA NDINGA YA MIL.25

Stori: Shakoor Jongo
FEDHA inaongea. Siku chache baada ya mwanamuziki Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kuvuta mkoko Toyota Lexus, mkali wa Bongo Fleva, Elias Barnaba naye amemjibu kwa kuvuta Mark X.                              Mkoko mpya wa mwanamuziki Zuwena Mohamed ‘Shilole’ aina ya Toyota Lexux. Barnaba ambaye aliwahi...

 

9 years ago

Bongo Movies

Shilole, Eddy Kenzo wa Uganda Penzi Jipya

Kwa sasa ni dhahiri kabisa penzi la Shilole na Nuh Mziwanda limefika mwisho baada Shishi kumtambulisha mpenzi wake mpya msanii,Eddy Kenzo kutoka nchini Uganda.

eddy_kenzo

‘’Nuh hanipendi Eddy Kenzo ndio ananipenda,ameniimbia wimbo nilikuwa sijui,naomba mjue kuwa ndiye mchumba wangu mpya,’’Alisema Shilole.

‘’Eddy Kenzo amenipenda tangu zamani lakini nilikuwa nikimpuuzia tu maskini ameonyesha upendo wake kwangu hadi kaimba wimbo kwa ajili yangu unajua sio kitu kidogo msanii mkubwa Afrika kuniimbia wimbo...

 

10 years ago

GPL

NUH AMUOMBA WEMA PENZI, SHILOLE AZIMIA!

Musa mateja YELEUWIII! Katika hali ya kushangaza, sauti ya mpenzi wa staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ inayosikika akimtongoza Wema Sepetu imemfikia Shilole na kusababisha azimie, Ijumaa Wikienda linakupa ‘ubuyu’ kamili. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1OJUPvy ...

 

9 years ago

Bongo Movies

Shilole Afuta Tattoo ya Nuh Kifuani, Yasemekana Penzi Lao Limeingia Mchanga!

Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.

shilole-2

Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.

SHISHI tattoo mpya
Tattoo mpya

shishiiiii

SHISHI tattoo zamani
Tattoo iliyofutwa

Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Shilole afuta tattoo ya Nuh kifuani, yasemekana penzi lao limeingia mchanga!

shilole-2

Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.

shilole-2

Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.

SHISHI tattoo mpya
Tattoo mpya

shishiiiii

SHISHI tattoo zamani
Tattoo iliyofutwa

Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani