Penzi la Shilole na Nuh layeyuka
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/shilolee-3.jpg)
Bongo Fleva na mwigizaji, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole a.k.a Shishi Beiby na msanii mwenzake Nuh Mziwanda. LILE penzi lililotikisa Bongo kati ya mwanadada mrembo ambaye ni msanii wa Bongo Fleva na mwigizaji, Zuwena Mohammed a.k.a Shilole a.k.a Shishi Beiby na msanii mwenzake Nuh Mziwanda, limevunjika ghafla wikiendi iliyopita. Soma zaidi ====>http://bit.ly/1HEbRcq ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BDlvIDeZhzhwwM1Gi1ltoVLVnGqsYX-8DK*V9miF2pYVv79T7dvGLh0YY0xGv3nBESTdMe5w5Fqu8gqeRFgFh5E6GI8QhM8e/frontpagewikienda.gif?width=650)
NUH AMUOMBA WEMA PENZI, SHILOLE AZIMIA!
9 years ago
Bongo Movies31 Dec
Shilole Afuta Tattoo ya Nuh Kifuani, Yasemekana Penzi Lao Limeingia Mchanga!
Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.
Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.
Tattoo mpya
Tattoo iliyofutwa
Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila...
9 years ago
Bongo530 Dec
Picha: Shilole afuta tattoo ya Nuh kifuani, yasemekana penzi lao limeingia mchanga!
![shilole-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/shilole-2-300x194.jpg)
Kuna taarifa mtaani kuwa penzi la mastaa wa muziki, Shilole na Nuh Mziwanda limevunjika. Japokuwa sio mara ya kwanza kwa tetesi kama hizo kuhusu couple hiyo, lakini safari hii kuna dalili kuwa inaweza kuwa ‘serious’.
Moja ya vitu vinavyoongeza nguvu ya tetesi hizo, Shishi amefuta ile tattoo aliyochora kifuani kwake miezi kadhaa iliyopita, yenye jina la ‘Nuh’ na kuchora UA juu yake.
Tattoo mpya
Tattoo iliyofutwa
Kipindi cha karibuni wawili hao hawaonekani pamoja kama ilivyozoeleka, na kila...
9 years ago
Bongo Movies10 Sep
Penzi la Nuh na Shishi Studioni
Penzi lililopo juu kwa sasa kati ya Shilole na Nuh Mziwanda, limemehamasishwa sana na muziki huo ambapo wawili hawa walikutana Studio ambapo Nuh alilianza kujenga mazoea ambayo baadae yaligeuka kuwa mahusiano ya mapenzi.
Taarifa hizo za ndani zinaweka wazi na Nuh ambaye anaeleza kuwa, katika kipindi hicho alikuwa akiish studio, na kukutana kwake na Shilole kwa mara ya kwanza hakukuwa na nia yoyote ya kimapenzi mpaka kukolea sana katika kufanya kazi za kimuziki, kufikia hatua ya 'ku-misiana'...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwQ4T0-yRRcapb8plYydQWAoacm99TtGeG3c-XuyK*h*uFJtIQjJ1QH10YjZp4Awo4ma6SASmJSHNkrGMnjqVPT/BACKRISASI.gif?width=650)
SHILOLE, NUH WAPATANISHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*SUYvb1OXSvIEXWXlijDY1LB5JTd3idxJyON9kxtK77yOWCXs2m3qwXZ7CUq5UNGnxkrRkkxh*bdQeUIrxZw8tHY2LELpEZb/shilole.jpg)
SHILOLE, NUH MZIWANDA
10 years ago
Bongo Movies08 Jun
Nuh, Shilole Watafuta Mtoto
Nuh Mziwanda, baada ya kuvuka kihunzi cha skendo ya kumpachika mimba binti, na kupelekea msukosuko katika penzi lake na Shilole, hatimaye ameongea na eNewz na kueleza mipango yake ya kuzaa mtoto na Shilole.
Nuh ameileza eNewz kuwa, yeye pamoja na Shilole wanapenda sana kupata mtoto wao, ila anafahamu kuwa hiyo ni mipango ya Mungu na wakati wowote kutoka sasa ikitokea baraka hiyo watafurahi, huku akiweka mipango ya ndoa baada ya kutambulishana kwa wazazi.
Eatv.tv
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pip6g4jx0sfprmW1t2nLymNZsrvtWFzuS5WdLpuxlupV5jpXhxiGm3*D8E4EOzRbv7SRd2*LE6v*0oN4z3NZvq-rn*XFHyyh/Mziwanda.jpg?width=650)
SHILOLE KUMCHORA NUH KALIONI
11 years ago
CloudsFM16 Jul
NUH MZUWANDA KUMUOA SHILOLE
Staa wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda ameweka wazi mahusiano yake na msanii mwenzake,Zuwena Mohamed’Shilole’kwa wazazi wake na kwamba ana mpango wa kumuoa msanii huyo.
Kwa mujibu wa baba mzazi wa msanii huyo aitwaye Mzee Mlawa amefunguka kwenye U heard na Soudy Brown amesema kuwa mwanaye huyo alimueleza kuwa anataka kumuoa mchumba wake huyo(Shilole).
‘’Mi sina tatizo kama wamependana waache waoane tu nasubiri wajukuu tu’’alisema baba Nuh Mziwanda. Aidha amefunguka kuwa mkwe wake huyo alimuona...