NUH MZUWANDA KUMUOA SHILOLE
Staa wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda ameweka wazi mahusiano yake na msanii mwenzake,Zuwena Mohamed’Shilole’kwa wazazi wake na kwamba ana mpango wa kumuoa msanii huyo.
Kwa mujibu wa baba mzazi wa msanii huyo aitwaye Mzee Mlawa amefunguka kwenye U heard na Soudy Brown amesema kuwa mwanaye huyo alimueleza kuwa anataka kumuoa mchumba wake huyo(Shilole).
‘’Mi sina tatizo kama wamependana waache waoane tu nasubiri wajukuu tu’’alisema baba Nuh Mziwanda. Aidha amefunguka kuwa mkwe wake huyo alimuona...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM04 Mar
Tifu laibuka tena! Shilole adaiwa kutaka kumpasua na chupa Nuh Mzuwanda.
Staa wa Bongo Fleva na Bongo Movie,Shilole amedaiwa kutaka kumpiga tena mpenzi wake ambaye pia ni msanii Nuh Mziwanda kwa chupa hivi karibuni wakiwa kwenye sherehe ya kuzaliwa meneja wa msanii Kajala,aitwaye Lamata iliyofanyika pande za Samaki Samaki,Posta,jijini Dar.
Katika tukio hilo habari zinasema kuwa Shilole alikuwa amelewa sana na kwamba walikuwa wamekaa sehemu tofauti na Nuh Mziwanda,ghafla sehemu aliyokuwa amekaa Nuh na wasanii wengine ilirushwa chupa ambayo ilikuwa ikimlenga msanii...
10 years ago
CloudsFM22 Dec
NUH MZIWANDA KUMUOA SHILOLE HIVI KARIBUNI
Baada ya kumvisha pete mchumba wake Shilole siku ya birthday yake,msanii Nuh Mziwanda amesema kuwa muda wowote kuanzia sasa atamuoa mchumba wake huyo.
''Kumvisha pete mchumba wangu ni hatua kubwa na mama yangu alianiambia nikimvisha pete mchumba wangu nisikae muda mrefu na nifunge naye ndoa kwahiyo nafuata ushauri wa mama na nitamuoa Shishi muda si mrefu,''alisema Nuh Mziwanda.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwQ4T0-yRRcapb8plYydQWAoacm99TtGeG3c-XuyK*h*uFJtIQjJ1QH10YjZp4Awo4ma6SASmJSHNkrGMnjqVPT/BACKRISASI.gif?width=650)
SHILOLE, NUH WAPATANISHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*SUYvb1OXSvIEXWXlijDY1LB5JTd3idxJyON9kxtK77yOWCXs2m3qwXZ7CUq5UNGnxkrRkkxh*bdQeUIrxZw8tHY2LELpEZb/shilole.jpg)
SHILOLE, NUH MZIWANDA
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/shilolee-3.jpg)
Penzi la Shilole na Nuh layeyuka
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pip6g4jx0sfprmW1t2nLymNZsrvtWFzuS5WdLpuxlupV5jpXhxiGm3*D8E4EOzRbv7SRd2*LE6v*0oN4z3NZvq-rn*XFHyyh/Mziwanda.jpg?width=650)
SHILOLE KUMCHORA NUH KALIONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuW28J-5rFXg1CM7YZFvpqEUD7StaWRSo-s0ZBIkiRNhkHcviNrl-b31QQ7S14WF7G-CJqHrx1ec0QsXj7nr6dV1/shilole.jpg)
SHILOLE: SIWEZI KUACHANA NA NUH
10 years ago
Bongo Movies08 Jun
Nuh, Shilole Watafuta Mtoto
Nuh Mziwanda, baada ya kuvuka kihunzi cha skendo ya kumpachika mimba binti, na kupelekea msukosuko katika penzi lake na Shilole, hatimaye ameongea na eNewz na kueleza mipango yake ya kuzaa mtoto na Shilole.
Nuh ameileza eNewz kuwa, yeye pamoja na Shilole wanapenda sana kupata mtoto wao, ila anafahamu kuwa hiyo ni mipango ya Mungu na wakati wowote kutoka sasa ikitokea baraka hiyo watafurahi, huku akiweka mipango ya ndoa baada ya kutambulishana kwa wazazi.
Eatv.tv
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lihD20i2jrwCJeAU45o*lOdnycaMPxKqQnnjsJcIlZXql19Ok3zh3pq9Vp-W1-In1DfNFU2ViQrwlM*B64dYsYatVY7kHJ9L/66.jpg?width=650)
SHILOLE: SASA NAMZALIA NUH MZIWANDA