SHILOLE, NUH WAPATANISHWA
![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwQ4T0-yRRcapb8plYydQWAoacm99TtGeG3c-XuyK*h*uFJtIQjJ1QH10YjZp4Awo4ma6SASmJSHNkrGMnjqVPT/BACKRISASI.gif?width=650)
Imelda Mtema BAADA ya kujinadi kwa mbwembwe nyingi mitandaoni kuwa wamemwagana, hatimaye wapendanao, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ na Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ wamepatanishwa na kufungua ukurasa mpya wa ‘malovee’, Risasi Mchanganyiko linakumegea. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1ONXbKF
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*SUYvb1OXSvIEXWXlijDY1LB5JTd3idxJyON9kxtK77yOWCXs2m3qwXZ7CUq5UNGnxkrRkkxh*bdQeUIrxZw8tHY2LELpEZb/shilole.jpg)
SHILOLE, NUH MZIWANDA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pip6g4jx0sfprmW1t2nLymNZsrvtWFzuS5WdLpuxlupV5jpXhxiGm3*D8E4EOzRbv7SRd2*LE6v*0oN4z3NZvq-rn*XFHyyh/Mziwanda.jpg?width=650)
SHILOLE KUMCHORA NUH KALIONI
10 years ago
Bongo Movies08 Jun
Nuh, Shilole Watafuta Mtoto
Nuh Mziwanda, baada ya kuvuka kihunzi cha skendo ya kumpachika mimba binti, na kupelekea msukosuko katika penzi lake na Shilole, hatimaye ameongea na eNewz na kueleza mipango yake ya kuzaa mtoto na Shilole.
Nuh ameileza eNewz kuwa, yeye pamoja na Shilole wanapenda sana kupata mtoto wao, ila anafahamu kuwa hiyo ni mipango ya Mungu na wakati wowote kutoka sasa ikitokea baraka hiyo watafurahi, huku akiweka mipango ya ndoa baada ya kutambulishana kwa wazazi.
Eatv.tv
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/shilolee-3.jpg)
Penzi la Shilole na Nuh layeyuka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuW28J-5rFXg1CM7YZFvpqEUD7StaWRSo-s0ZBIkiRNhkHcviNrl-b31QQ7S14WF7G-CJqHrx1ec0QsXj7nr6dV1/shilole.jpg)
SHILOLE: SIWEZI KUACHANA NA NUH
11 years ago
CloudsFM16 Jul
NUH MZUWANDA KUMUOA SHILOLE
Staa wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda ameweka wazi mahusiano yake na msanii mwenzake,Zuwena Mohamed’Shilole’kwa wazazi wake na kwamba ana mpango wa kumuoa msanii huyo.
Kwa mujibu wa baba mzazi wa msanii huyo aitwaye Mzee Mlawa amefunguka kwenye U heard na Soudy Brown amesema kuwa mwanaye huyo alimueleza kuwa anataka kumuoa mchumba wake huyo(Shilole).
‘’Mi sina tatizo kama wamependana waache waoane tu nasubiri wajukuu tu’’alisema baba Nuh Mziwanda. Aidha amefunguka kuwa mkwe wake huyo alimuona...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/poNlDA9JoO33SUwW9Bw1uh74mT2CMgK1Wj54nDH*t14ImwYs3j-pwm967mT2kUwn1ZARmvYZhBiODXkX6M8vXUU4R9uvlsfV/79129__shilole1.jpg)
SHILOLE ATOBOA SIRI TATTOO YA NUH
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qUZbsOiEeqkbz1tattChqmVbbF0B*PRgudOTPJLSpVT5hF9fBEuyQHTzft2rGh-pVPBYDpkLNJyp1zKsUkbf5FqGGO-UXben/Wema.gif?width=650)
WEMA AWAVUA NGUO SHILOLE, NUH
10 years ago
CloudsFM26 Feb
Shilole: Marafiki wananigombanisha na Nuh Mziwanda
MSANII wa muziki na mwigizaji wa filamu za Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ameamua kuweka wazi chanzo cha migogoro yake na mumewe mtarajiwa, Nuh Mziwanda kuwa ni marafiki.