SHILOLE: SIWEZI KUACHANA NA NUH
![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuW28J-5rFXg1CM7YZFvpqEUD7StaWRSo-s0ZBIkiRNhkHcviNrl-b31QQ7S14WF7G-CJqHrx1ec0QsXj7nr6dV1/shilole.jpg)
Na Shani Ramadhani KUFUATIA varangati lililotokea Tabora katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, baada mpenzi wa mwanamuziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kukataliwa na mashabiki, Shilole ameamua kufunguka kuwa Nuh atabaki kuwa mpenzi wake katika hali yoyote. Mwanamuziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na paparazi wetu,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
"Hata iweje siwezi kuachana na Nuh Mziwanda" - Shilole huyo
Baada ya varangati lililotokea Tabora katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, baada mpenzi wa mwanamuziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kukataliwa na mashabiki, Shilole ameamua kufunguka kuwa Nuh atabaki kuwa mpenzi wake katika hali yoyote.
Akizungumza na paparazi wa kampuni ya GPL, Shilole alisema lengo lake lilikuwa ni kumtambulisha mpenzi wake kwa mashabiki wake japo walimkataa kuwa shemeji yao.
“Wakati namtambulisha Nuh kwa wakazi wa Tabora kuwa...
10 years ago
Bongo Movies21 Jul
Shilole Atoboa Sababu ya Kuachana na Nuh Mziwanda
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedai kuwa wivu ndiyo uliosababisha yeye na mchumba wake Nuh Mziwanda kuachana.
“Nuh haniamini kabisa na ana wivu kupitiliza ndo chanzo cha kuachana” Shilole amenukuliwa na Eatv.tv akieleza.
Wawili hao wamekuwa wakijibizana kwa maneno ya shombo kwenye midandao ya kijamii mara baada ya kuachana.
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Siwezi kuacha toto zuri Shilole kwa kibao tu-Nuh Mziwanda
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/shiloleee.jpg)
Kila la kheri kijana, tunakuombea Shilole asikuache kwasababu wewe umesema hauwezi kumuacha toto.
10 years ago
Bongo Movies12 Feb
VIJIMAMBO: Siwezi kuacha toto zuri Shilole kwa kibao tu-Nuh Mziwanda
Mara baada ya kutupia picha hiyo hapo juu akiwa na mchumba wake Shilole, Nuh Mziwanda alibandika pandiko hili
“Oooh muache muache!!nimuache nimuachie nani kwa mfano mtoto mkali kama huyu.mnataka valentine day nihesabu mabati nini.aaaah tusitaniane jamani.je ungekua wewe ungeacha toto hili kwa kibao tu jamani.waniache tu”-Mziwanda alimaliza.
Kila la kheri kijana, tunakuombea Shilole asikuache kwasababu wewe umesema hauwezi kumuacha toto.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtEwQ4T0-yRRcapb8plYydQWAoacm99TtGeG3c-XuyK*h*uFJtIQjJ1QH10YjZp4Awo4ma6SASmJSHNkrGMnjqVPT/BACKRISASI.gif?width=650)
SHILOLE, NUH WAPATANISHWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*SUYvb1OXSvIEXWXlijDY1LB5JTd3idxJyON9kxtK77yOWCXs2m3qwXZ7CUq5UNGnxkrRkkxh*bdQeUIrxZw8tHY2LELpEZb/shilole.jpg)
SHILOLE, NUH MZIWANDA
11 years ago
CloudsFM16 Jul
NUH MZUWANDA KUMUOA SHILOLE
Staa wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda ameweka wazi mahusiano yake na msanii mwenzake,Zuwena Mohamed’Shilole’kwa wazazi wake na kwamba ana mpango wa kumuoa msanii huyo.
Kwa mujibu wa baba mzazi wa msanii huyo aitwaye Mzee Mlawa amefunguka kwenye U heard na Soudy Brown amesema kuwa mwanaye huyo alimueleza kuwa anataka kumuoa mchumba wake huyo(Shilole).
‘’Mi sina tatizo kama wamependana waache waoane tu nasubiri wajukuu tu’’alisema baba Nuh Mziwanda. Aidha amefunguka kuwa mkwe wake huyo alimuona...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/shilolee-3.jpg)
Penzi la Shilole na Nuh layeyuka