Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHILOLE: YEMI ATAFIA UGENINI

IKIWA imesalia siku moja kuelekea Tamasha la Usiku wa Matumaini, Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa, diva kunako muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametupa kijembe kwa staa wa Nigeria aliyekuja kukinukisha Bongo, Yemi Alade kuwa amekuja kufia ugenini. Diva kunako muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akizungumza na Risasi Vibes, Shilole anayetamba na ngoma ya Namchukua, alijibu tambo za Yemi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YEMI: NAKUJA KUMTEKETEZA SHILOLE

MKALI wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade amesema yupo tayari kuja kumteketeza mkali wa miondoko ya mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ katika Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalofanyika Agosti 8, katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Mkali wa muziki kutoka pande za Nigeria, Yemi Alade. Akizungumza na Over The Weekend, kwa njia ya simu, Yemi ambaye ametokea kujizolea umaarufu mkubwa kupitia wimbo wa...

 

9 years ago

Bongo5

Shilole apanga kumshirikisha Yemi Alade

Shilole anapanga kumshirikisha Yemi Alade wa Nigeria. Shilole ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa wanajadiliana namna ya kufanya ya kazi. “Unajua Yemi ni msanii mkubwa na ana vitu vingi anafanya ila kila kitu kinaenda sawa,” amesema. “Watu wangu ambao wanazungumza na Yemi wanaendelea na kila kitu kinaenda sawa soon watu watasikia nini kinaendelea.” Shilole amedai ataachia […]

 

11 years ago

GPL

YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU KITAIFA

WAKATI hamu ya mashabiki kila kona kwa sasa ni Agosti 8, mwaka huu katika tamasha kubwa la kihistoria la Usiku wa Matumaini litakalofanyia Uwanja wa Taifa jijini Dar, mashabiki wengi wanatamani kuwaona wakali kibao wakipanda jukwaani na kupiga nyimbo zao kali. Diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki...

 

11 years ago

Michuzi

YEMI, SHILOLE KUFANYA MAAJABU TAIFA USIKU WA MATUMAINI

WAKATI hamu ya mashabiki kila kona kwa sasa ni Agosti 8, mwaka huu katika tamasha kubwa la kihistoria la Usiku wa Matumaini litakalofanyia Uwanja wa Taifa jijini Dar, mashabiki wengi wanatamani kuwaona wakali kibao wakipanda jukwaani na kupiga nyimbo zao kali.Diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade
Good newz ni kwamba Zuwena Mohamed ‘Shilole’ atapanda jukwaa moja na diva wa muziki kutoka Nigeria anayetamba na wimbo wa Johnny, Yemi Alade kudondosha shoo ya...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014... SHILOLE KUMFUNIKA YEMI ALADE

WAKATI Watanzania wakilisubiri kwa hamu Tamasha la Matumaini litakalofanyika Agosti 8, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar, habari njema ni kwamba, staa wa Chuna Buzi, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameahidi kumkalisha mkali wa Johhny, Yemi Alade atakayekuja kulipamba tamasha hilo. Mkali wa kudansi kutoka Nigeria, Yemi Alade akipozi. Akizungumzia tamasha hilo lenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya...

 

9 years ago

Bongo5

Shilole aingia studio na producer wa Yemi Alade, Selebobo

Shilole na Selebobo

Staa wa muziki nchini, Shilole ameingia studio na producer wa hit single ya Yemi Alade (Johnny) Selebobo wa Nigeria kurekodi wimbo mpya.

Shilole na Selebobo

Shilole ambaye yupo nchini Nigeria, ameiambia Bongo5 kuwa kila kitu kimeenda sawa na usiku wa Jumamosi waliingia studio.

“Tunaingia leo (Jumamosi) usiku studio. Nimezungumza naye nimemwonesha ngoma zangu na ametokea kupenda kazi zangu, kwahiyo kwa kifupi mashabiki wangu wategemee mambo mazuri hasa hasa kolabo,” alisema.

Shilole amesema safari yake ya...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE: TUKUTANE UWANJA WA TAIFA MUONE NINAVYOCHUANA NA YEMI ALADE

Staa wa filamu na muziki, Zuwena Mohammed 'Shilole' amewataka mashabiki wake kuhudhuria kwa wingi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini Agosti 8, 2014 ili waone atakavyochuana na staa mwenzake kutoka Nigeria, Yemi Alade!

 

9 years ago

GPL

DAKTARI: DIAMOND ATAFIA STUDIO

Musa Mateja na Gabriel Ng’osha YAMEKUWA hayo! Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anahofiwa kufia studio kutokana na kufanya kazi kwa muda mrefu pasipo kupumzika jambo linalomsababishia ‘kuzima’ (kulala fofofo) mara kwa mara ndani ya studio. soma zaidi===>http://goo.gl/Bb2L2x

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani