Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BELLA KUFANYA MAAJABU DAR LIVE

Mikito Nusunusu
KING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kufanya maajabu Juni 6, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. King of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’. Akizungumzia na Mikito Nusunusu, mratibu wa burudani wa ukumbi huo, Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’ alisema kuwa siku hiyo Bella atauzindua wimbo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PROFESA CALABASH AFANYA MAAJABU DAR LIVE

Mtaalam wa michezo ya watoto na maigizo nchini, Profesa Calabash katika sikukuu ya Eid al Hajj, Oktoba 5, 2014 alifanya maajabu ndani ya Ukumbi wa burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakhem, jijini Dar.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, MZEE YUSUF: TUTAFANYA MAAJABU DAR LIVE

WAKALI wa muziki nchini Diamond Platnumz na Mzee Yusuf wameahidi kufanya shoo ya nguvu katika Sikukuu ya Krismasi kwenye Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live katika Tamasha la Wafalme.

 

9 years ago

Mtanzania

Bella kutikisa Dar Live kesho

BellaNa Mwandishi Wetu

MKALI wa sauti, Christian Bella, anatarajiwa kupagawisha mashabiki wake kesho kwenye ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

Msanii huyo anatarajia kushuka jukwaani na wimbo mpya ambao anatamba nao kwa sasa alioufanya na mkongwe wa muziki kutoka Kongo (DRC), Koffi Olomide, uitwao Acha Kabisa.

Mkali huyo mwenye kibao cha ‘Nashindwa’ anatarajia kufunga mwaka kwa kukata kiu kwa mashabiki wake kwa kuimba na kucheza ngoma zake zote kali kama vile Nani Kama Mama,...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA ALIVYOFUNIKA DAR LIVE JANA

Wanamuziki wa Malaika Music Band wakilishambulia jukwaa. Mashabiki wakipagawishwa na muziki huo. Christian Bella akiimba moja ya nyimbo zake kwa hisia.…

 

10 years ago

GPL

BELLA KUTAMBULISHA USIKU WA NASHINDWA DAR LIVE!

Mfalume wa Masauti Bongo, Christian Bella ‘Obama’ akiwa ndani ya Global TV. Christian Bella akiimba wimbo wake mpya wa 'Nashindwa'. Malaika bendi chini ya uongozi wa Christian Bella katika moja ya shoo yao, Dar Live patakuwa hapatoshi jumamosi hii.…

 

9 years ago

Global Publishers

Bella kufunga mwaka na Koffi, Dar Live

BELAKING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’.

Na Mwandishi Wetu

KING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kufunga mwaka (Desemba 31) na wimbo alioufanya na mkongwe wa muziki kutoka Kongo (DRC), Koffi Olomide uitwao Acha Kabisa, ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

Akizungumza na mtandao huu, Bella anayetamba na Wimbo wa Nashindwa alisema usiku huo mashabiki watafunga mwaka kwa kuimba na kucheza ngoma zake zote kali kama...

 

10 years ago

GPL

9 years ago

Global Publishers

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani