Bella kufunga mwaka na Koffi, Dar Live
KING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’.
Na Mwandishi Wetu
KING of the Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kufunga mwaka (Desemba 31) na wimbo alioufanya na mkongwe wa muziki kutoka Kongo (DRC), Koffi Olomide uitwao Acha Kabisa, ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Akizungumza na mtandao huu, Bella anayetamba na Wimbo wa Nashindwa alisema usiku huo mashabiki watafunga mwaka kwa kuimba na kucheza ngoma zake zote kali kama...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers26 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/q9F7huxYHU0/default.jpg)
BELLA KUTAMBULISHA USIKU WA NASHINDWA DAR LIVE! JUNI 6 MWAKA HUU
![](http://api.ning.com/files/U4nVIpmxyNMf4K7dhGvPw0aUU68tLjcYGCwgfGBPVc71WIWVJUjNNY-bMNiZg1lpBPw4qsPp8pjTtnJRxgY8Qv68E-2zrRKt/IMG20150522WA0006.jpg)
MFALME wa Masauti asiye na mpinzani Bongo, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kuutambulisha Usiku wa Nashindwa, Juni 6, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live...
9 years ago
Bongo501 Dec
Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo
![Bella na Koffi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Bella-na-Koffi-300x194.jpg)
Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.
Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.
“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...
9 years ago
Michuzi01 Jan
Dar Live na Shangwe za Kuukaribisha Mwaka Mpya 2016, Christian Bella Aweka Rekodi Mpya!
![bella (69)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-69.jpg)
![bella (71)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-71.jpg)
![bella (73)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-73.jpg)
![bella (74)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-74.jpg)
![bella (75)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/bella-75.jpg)
9 years ago
Bongo510 Nov
Christian Bella afanya kolabo na Koffi Olomide
![12193444_1655486444698942_6015838084402136083_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12193444_1655486444698942_6015838084402136083_n-300x194.jpg)
Christian Bella ameingia studio na kufanya kolabo na msanii mkongwe DR Congo, Koffi Olomide.
Christian Bella na Koffi wakiwa studio
Kupitia ukurasa wa Instagram wa Bella ameshare picha akiwa na Koffi studio na kuandika: Tumemaliza kurecord audio na koffi olomide asante Mungu.
Bella akiwa na Koffi Olomide
9 years ago
Bongo523 Nov
Christian Bella: Nilidhani Koffi Olomide ataniletea maringo
![Bella akiwa na Koffi Olomide](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Bella-akiwa-na-Koffi-Olomide-300x194.jpg)
Mwimbaji mahiri, Christian Bella amesema babla ya kukutana na msanii mkongwe wa DR Congo, Koffi Olomide na kufanyanae wimbo wa pamoja alidhani angemletea mringo.
Christian Bella na Koffi wakiwa studio
Bella ambaye alisafiri hadi DR Congo kwa ajili ya kolabo hiyo, ameiambia Bongo5 kuwa, aliogopeshwa na tabia ya msanii huyo ya kukataa kufanya kolabo mara kwa mara.
“Koffi mkubwa sana na ni msanii anayeheshimika sana Congo na mara nyingi afanyi kolabo za mara kwa mara, ndo maana nilidhani...
9 years ago
Bongo504 Dec
New Music: Christian Bella f/ Koffi Olomide – Acha Kabisa
![acha kabisa artwork](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/acha-kabisa-artwork-300x194.jpg)
Ngoma ya Christian Bella aliyomshirikisha Koffi Olomide imetoka. Inaitwa Acha Kabisa. Isikie hapo chini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Mtanzania30 Dec
Bella kutikisa Dar Live kesho
Na Mwandishi Wetu
MKALI wa sauti, Christian Bella, anatarajiwa kupagawisha mashabiki wake kesho kwenye ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Msanii huyo anatarajia kushuka jukwaani na wimbo mpya ambao anatamba nao kwa sasa alioufanya na mkongwe wa muziki kutoka Kongo (DRC), Koffi Olomide, uitwao Acha Kabisa.
Mkali huyo mwenye kibao cha ‘Nashindwa’ anatarajia kufunga mwaka kwa kukata kiu kwa mashabiki wake kwa kuimba na kucheza ngoma zake zote kali kama vile Nani Kama Mama,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5wu8U2Maqbh7BpQV6XnmkzlF-3Rm9bd2lQS81vGIIuILFkj-6uwJILHcSkBf*PxvanikpGxDb4cqnavNI0jtaf4l92caHySO/Bella.jpg)
BELLA KUFANYA MAAJABU DAR LIVE