Manji awaita wanaompinga
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amelitaka kundi la wanachama wanaopinga uamuzi wa mkutano mkuu wa kumwongezewa muda wa kuiongoza klabu hiyo, kujiorodhesha na yeye atakuwa wa kwanza kufanya hivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Wanaompinga Manji wagwaya
SIKU chache baada ya uongozi wa Yanga kuwataka wanachama wanaompinga Mwenyekiti wao Yusuf Manji kujitokeza klabuni kujiorodhesha, hadi jana hakuna aliyekuwa amejitokeza. Juni Mosi mwaka huu, zaidi ya wanachama 1,500...
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
Congo:4 Wanaompinga Sassou Nguesso wauawa
11 years ago
GPL06 Jan
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SVF9loI-X8A/XveTYcEU9SI/AAAAAAALvs4/hBQgm7_Yw6kANZO2AAmPBJCt33m_UHTggCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
WANAOMPINGA RAIS MAGUFULI WANA URAIA WA NCHI MBILI-MASAUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SVF9loI-X8A/XveTYcEU9SI/AAAAAAALvs4/hBQgm7_Yw6kANZO2AAmPBJCt33m_UHTggCLcBGAsYHQ/s400/unnamed.jpg)
Masauda akizungumza jana mjini Babati alisema yeye alikuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM Taifa mwaka 2007 hadi 2015 hivyo anashangazwa na vigogo kama Bernard Membe wanampinga Rais Magufuli.
Alisema wanaompinga wanapaswa kutambua kuwa...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Bengo awaita Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgSqO7ypDtxRUvsKW-BTbKHPVUO1B0U9rp*j6j1AMFAD8uGBif9wtd07*4Uccs0wzvfbZwPOBbt*VrnmcJTmG7U/beki.jpg)
Beki awaita Simba Nigeria
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Kikwete awaita Ukawa Ikulu
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA WAANDISHI WETU, MOROGORO NA DODOMA
RAIS Jakaya Kikwete amesema yupo tayari kukutana na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ili kunusuru mchakato wa Katiba mpya.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja siku chache baada ya baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kupinga hatua ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumtuma Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kusaka suluhu na viongozi wa Ukawa.
Akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro juzi, mara...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Mjomba Mpoto awaita videoni
MSANII mahiri wa utunzi wa mashairi, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ anatarajiwa kuuweka katika video wimbo wake unaokwenda kwa jina la ‘Waite’ aliouachia hivi karibuni. Wimbo huo aliyoutengeneza katika studio yake ya...
11 years ago
Tanzania Daima30 Apr
Ngeleja awaita UKAWA mezani
SUKU moja baada ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kueleza kusudio lao la kufungua kesi Mahakama Kuu kuhoji mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba, Mwenyekiti Kamati ya...