Ngeleja awaita UKAWA mezani
SUKU moja baada ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kueleza kusudio lao la kufungua kesi Mahakama Kuu kuhoji mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba, Mwenyekiti Kamati ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Kikwete awaita Ukawa Ikulu
Rais Jakaya Kikwete
NA WAANDISHI WETU, MOROGORO NA DODOMA
RAIS Jakaya Kikwete amesema yupo tayari kukutana na viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ili kunusuru mchakato wa Katiba mpya.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja siku chache baada ya baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kupinga hatua ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumtuma Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, kusaka suluhu na viongozi wa Ukawa.
Akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mjini Morogoro juzi, mara...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Azam FC yawaita Yanga mezani
UONGOZI wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, umewataka Yanga kwenda kufanya mazungumzo kama wanamuhitaji kiungo wao, Salum Abubakari ‘Sure Boy’, kwani bado wana mkataba naye. Yanga wamefikia...
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Sakata la SIKIKA latua mezani kwa Ghasia
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia
Na Khamis Mkotya, Dar es Salaam
SAKATA la kufungiwa kwa Shirika la SIKIKA wilayani Kondoa limechukua sura mpya baada ya shirika hilo kumwandikia barua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia.
Barua hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Irenei Kiria, ilipelekwa ofisini kwa Ghasia Jumatano zikiwa zimepita wiki mbili tangu shirika hilo kufungiwa wilayani...
11 years ago
GPLSimba wakaa mezani na Pluijm kwa saa sita
5 years ago
MichuziDiamond Blackjack ndio Habari mpya kwenye Michezo ya Mezani
Diamond Blackjack ndio Habari mpya kwenye Michezo ya MezaniMeridianbet kasino imetengeneza utaratibu mzuri sana wa kuwapa wateja wake michezo bora ya Sloti na Karata. Na imekua si ajabu tena kwakua tumekuletea mchezo mwingine Bora kabisa wa Sloti Kasino wa Diamond Blackjack.
Blackjack ya kwanza kabisa ya Meridian ni Mchezo wa karata wa mezani ambao Haukwepeki na wala hautabiliki ukilinganisha na michezo mingine ya Kasino inachochezwa kidigitali. Mchezo huu umeleta pamoja Upekee na mpangilio...
11 years ago
MichuziWashindi wa Mpira wa mezani (Heineken Foosball) wakwea pipa kuelekea Ibiza
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Simba waanza kulegeza kamba, kazi kwa Mo kuweka mzigo mezani
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Lile dili la mfanyabiashara mkubwa nchini, Mohamed Dewji kununua hisa katika klabu ya Simba SC linaonekana kuiva baada ya makamu wa rais wa Simba kuzungumzia dili hilo kuwa ni jambo nzuri la linafaida katika soka la sasa.
Akizungumza katika kipindi cha E Sport kinachorushwa na E Fm,...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Manji awaita wanaompinga
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Bengo awaita Yanga