Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sakata la SIKIKA latua mezani kwa Ghasia

Hawa Ghasia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia

Na Khamis Mkotya, Dar es Salaam

SAKATA la kufungiwa kwa Shirika la SIKIKA wilayani Kondoa limechukua sura mpya baada ya shirika hilo kumwandikia barua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia.

Barua hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Irenei Kiria, ilipelekwa ofisini kwa Ghasia Jumatano zikiwa zimepita wiki mbili tangu shirika hilo kufungiwa wilayani...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Sakata la kulinda kura latua Mahakama Kuu

Hatimaye mvutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuhusu umbali wa mwananchi kusimama baada ya kupiga kura, umetinga Mahakama Kuu.

 

10 years ago

Bongo Movies

Sakata la Faiza Ally Kunyang’anywa Mtoto Latua Bungeni

Siku chache zimepita tangu hukumu ya kesi ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kutolewa dhidi ya mzazi mwenzake Faiza Ally,baada ya kuiomba mahakama kumchukua mtoto wao, hali iiyopelekea mahakama kutoa hukumu kuwa mtoto achukuliwe na Mbunge huyo,  jambo lililofanya sakata hilo kutinga bungeni.

Baadhi ya wabunge na wadau mbalimbali wamedai kuwa mtoto bado ni mdogo sana kuweza kuishi na baba yake na kutoa maoni kuwa mtoto arudishwe kwa mama yake kwa kuwa kila mtu ana mapungufu na...

 

11 years ago

GPL

Simba wakaa mezani na Pluijm kwa saa sita

  Na Hans Mloli
USAJILI wa kuwindana unaendelea kushika hatamu lakini upande wa pili wa shilingi juzi Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm na baadhi ya viongozi wa Simba, waliweka tofauti hizo za soka pembeni na kufanya mazungumzo kwa takribani saa sita na ushee. Viongozi hao walikutana na kocha huyo na kukaa meza moja na kuzungumza huku wakipata vinywaji walipohudhuria kwenye tukio zima la utoaji wa tuzo za...

 

9 years ago

Dewji Blog

Simba waanza kulegeza kamba, kazi kwa Mo kuweka mzigo mezani

moi2

Pichani ni Mohammed Dewji  alipokuwa mgeni rasmi wa tamasha la Simba Day, akisalimiana na mmoja wa wadau kwenye jukwaa kuuna kulia ni Nyange Kaburu.  (Pichana Maktaba yetu).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Lile dili la mfanyabiashara mkubwa nchini, Mohamed Dewji kununua hisa katika klabu ya Simba SC linaonekana kuiva baada ya makamu wa rais wa Simba kuzungumzia dili hilo kuwa ni jambo nzuri la linafaida katika soka la sasa.

Akizungumza katika kipindi cha E Sport kinachorushwa na E Fm,...

 

9 years ago

Mtanzania

Rungu la Magufuli latua kwa Bakhresa

Screen Shot 2015-07-16 at 8.18.52 PM*TRA yazuia makontena yake bandari kavu

*Polisi yasema uchunguzi mzito unaendelea

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezuia kampuni ya Said Salim Bakhresa & Co. Limited kupeleka makontena yake katika Bandari yake Kavu (ICD), baada ya kugundulika kuwa baadhi ya makontena yalipitishwa bila kulipiwa kodi.

Kwa mujibu wa barua ya TRA ya Novemba 17, mwaka huu,  iliyosainiwa na Wolfagang Salia kwa niaba ya Kamishina wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa, kampuni hiyo...

 

11 years ago

GPL

BARAZA LA MAWAZIRI; JIWE LATUA KWA WASIOTEGEMEA

Na Haruni Sanchawa Juzi Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sifue kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete alitangaza mabadiliko katika baraza la mawaziri ambapo ‘jiwe’ limetua kwa wasiotegemea. Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sifue (kushoto) akitangaza Baraza jipya la Mawaziri. Katika mabadiliko hayo wizara tano zimepata mawaziri wapya kujaza nafasi za waliovuliwa nyadhifa zao kutokana na kashfa ya Operesheni Tokomeza....

 

10 years ago

Dewji Blog

Zoezi la kupima ulevi kwa madereva wa mabasi, latua Singida mjini

DSC03142

Mrakibu msaidizi wa polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam, Abel Swai, akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha mjini  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi,kucheleweshwa au gari ni mbovu,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa.

Na Nathaniel Limu, Singida

MRAKIBU msaidizi wa polisi makao makuu kitengo cha elimu kwa umma usalama barabarani...

 

10 years ago

Michuzi

Zoezi la kupima ulevi na kutokutumia simu kwa madereva wa mabasi,latua Singida

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to send"inayohamasisha madereva kutokutumia simu zao wakiwa wanatumia vyombo vya...

 

10 years ago

GPL

ZOEZI LA KUPIMA ULEVI NA KUTOKUTUMIA SIMU KWA MADEREVA WA MABASI, LATUA SINGIDA‏

Mrakibu msaidizi wa Jeshi la polisi (ACP) mkuu wa  kitengo cha elimu kwa umma makao makuu ya usalama barabarani jijini Dar-es-salaam,Abel Swai,akiwahamasisha abiria wa basi la kampuni ya France line lililokuwa likitokea Dodoma kwenda Arusha  kutoa taarifa kwa jeshi la polisi endapo watagundua dereva mlevi au akiendesha gari vibaya,ili hatua za haraka ziweze kuchukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya"Wait to...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani