Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba waanza kulegeza kamba, kazi kwa Mo kuweka mzigo mezani

moi2

Pichani ni Mohammed Dewji  alipokuwa mgeni rasmi wa tamasha la Simba Day, akisalimiana na mmoja wa wadau kwenye jukwaa kuuna kulia ni Nyange Kaburu.  (Pichana Maktaba yetu).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Lile dili la mfanyabiashara mkubwa nchini, Mohamed Dewji kununua hisa katika klabu ya Simba SC linaonekana kuiva baada ya makamu wa rais wa Simba kuzungumzia dili hilo kuwa ni jambo nzuri la linafaida katika soka la sasa.

Akizungumza katika kipindi cha E Sport kinachorushwa na E Fm,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Simba wakaa mezani na Pluijm kwa saa sita

  Na Hans Mloli
USAJILI wa kuwindana unaendelea kushika hatamu lakini upande wa pili wa shilingi juzi Kocha wa Yanga, Mholanzi, Hans van Der Pluijm na baadhi ya viongozi wa Simba, waliweka tofauti hizo za soka pembeni na kufanya mazungumzo kwa takribani saa sita na ushee. Viongozi hao walikutana na kocha huyo na kukaa meza moja na kuzungumza huku wakipata vinywaji walipohudhuria kwenye tukio zima la utoaji wa tuzo za...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI KWA KUTEMBELEA MRADI WA UMEME WA KINYEREZI

Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima (katikati) akielezea maendeleo ya mradi wa Kinyerezi I. Kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Nishati) Mhe. Charles Mwijage na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene. Kushoto kabisa ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava.Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Nishati) Mhe. Charles Mwijage (kulia) akitoa maelekezo kwa wataalamu wanaosimamia...

 

11 years ago

Mtanzania

Sakata la SIKIKA latua mezani kwa Ghasia

Hawa Ghasia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia

Na Khamis Mkotya, Dar es Salaam

SAKATA la kufungiwa kwa Shirika la SIKIKA wilayani Kondoa limechukua sura mpya baada ya shirika hilo kumwandikia barua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia.

Barua hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Irenei Kiria, ilipelekwa ofisini kwa Ghasia Jumatano zikiwa zimepita wiki mbili tangu shirika hilo kufungiwa wilayani...

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr awatwisha mzigo washambuliaji Simba

Simba ilianza kutetea taji la ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Jamhuri ya Pemba juzi, lakini kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr amewataja washambuliaji kuwa ndiyo chanzo cha matokeo ya sare.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajinyonga kwa kamba za viatu

WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizokuwa amezifunga kwenye tawi la mti. Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

11 years ago

CloudsFM

RAIA WA VIETNAM AKAMATWA NA MZIGO WA MENO YA TEMBO KUCHA ZA SIMBA

Jeshi la Polisi linamshikilia Raia wa Vietnam Dong Van(47) kwa kumkamata akiwa na meno 65 na kucha 447 za Simba kinyume cha sheria vyenye thamani ya Shilingi Milioni 189,420,000.
Kamishna Msaidizi wa Polisi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Hamisi Selemani, amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa jana wakati alipotaka kusafirisha nyara hizo kwa kutumia Shirika la Ndege la Qatar Airways kwenda nchini Vietnam kupitia Doha.

Amesema alipopekuliwa alikutwa na nyara hizo ambazo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Japo uimbaji Injili ni kazi, haifai fedha kuweka mbele

TAFSIRI ya neno ‘kazi’, ni shughuli yoyote halali ambayo kupitia kwayo, mhusika anajipatia kipato cha kumwezesha kuishi, kwa maana ya kujikimu katika mahitaji ya kila siku. Kupitia tafsiri hii, unaweza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani