Simba waanza kulegeza kamba, kazi kwa Mo kuweka mzigo mezani
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Lile dili la mfanyabiashara mkubwa nchini, Mohamed Dewji kununua hisa katika klabu ya Simba SC linaonekana kuiva baada ya makamu wa rais wa Simba kuzungumzia dili hilo kuwa ni jambo nzuri la linafaida katika soka la sasa.
Akizungumza katika kipindi cha E Sport kinachorushwa na E Fm,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3erL*sNa94sB2Vrg9mpceuJFuLho-pdidmfnMoKsW2FeY2T1fM1L5H-4zMsif504fKNADk41d9Dhty7mPyfrMIz/33.jpg?width=650)
Simba wakaa mezani na Pluijm kwa saa sita
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI KWA KUTEMBELEA MRADI WA UMEME WA KINYEREZI
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Sakata la SIKIKA latua mezani kwa Ghasia
![Hawa Ghasia](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Hawa-Ghasia.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia
Na Khamis Mkotya, Dar es Salaam
SAKATA la kufungiwa kwa Shirika la SIKIKA wilayani Kondoa limechukua sura mpya baada ya shirika hilo kumwandikia barua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia.
Barua hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Irenei Kiria, ilipelekwa ofisini kwa Ghasia Jumatano zikiwa zimepita wiki mbili tangu shirika hilo kufungiwa wilayani...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Kerr awatwisha mzigo washambuliaji Simba
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Ajinyonga kwa kamba za viatu
WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba za viatu alizokuwa amezifunga kwenye tawi la mti. Kamanda wa Polisi Mkoa...
11 years ago
CloudsFM01 Aug
RAIA WA VIETNAM AKAMATWA NA MZIGO WA MENO YA TEMBO KUCHA ZA SIMBA
Kamishna Msaidizi wa Polisi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Hamisi Selemani, amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa jana wakati alipotaka kusafirisha nyara hizo kwa kutumia Shirika la Ndege la Qatar Airways kwenda nchini Vietnam kupitia Doha.
Amesema alipopekuliwa alikutwa na nyara hizo ambazo...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Japo uimbaji Injili ni kazi, haifai fedha kuweka mbele
TAFSIRI ya neno ‘kazi’, ni shughuli yoyote halali ambayo kupitia kwayo, mhusika anajipatia kipato cha kumwezesha kuishi, kwa maana ya kujikimu katika mahitaji ya kila siku. Kupitia tafsiri hii, unaweza...