Japo uimbaji Injili ni kazi, haifai fedha kuweka mbele
TAFSIRI ya neno ‘kazi’, ni shughuli yoyote halali ambayo kupitia kwayo, mhusika anajipatia kipato cha kumwezesha kuishi, kwa maana ya kujikimu katika mahitaji ya kila siku. Kupitia tafsiri hii, unaweza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Mipasho haifai muziki wa Injili
STAILI, vionjo na mfumo mzima wa muziki umekuwa ukibadilika kila siku kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo hali ya kwenda na wakati. Mabadiliko haya kwa upande mwingine yamekuwa sababu ya changamoto...
9 years ago
Habarileo15 Oct
Wanasiasa nchini watakiwa kuweka mbele maslahi ya taifa
BARAZA la vyama vya siasa nchini limesema kazi ya kulinda kura ipo chini ya mamlaka ya vyombo vya ulinzi kwa mujibu wa katiba na sheria na si wananchi.
10 years ago
Uhuru Newspaper28 Aug
Vyama vya siasa vyatakiwa kuweka utaifa mbele
Vyaonywa maslahi ya vyama yataiweka nchi pabaya
NA KHADIJA MUSSA
VIONGOZI wa vyama vya siasa watakaokwenda kukutana na Rais Jakaya Kikwete, wametakiwa kuweka mbele masuala yanayohusu taifa na si misimamo binafsi ya vyama vyao.
Aidha wasomi nchini wamempongeza Rais Kikwete kwa kukubali kukutana na viongozi wa vyamaa hivyo vya siasa kwa kuwa ni ishara nzuri kwa kiongozi wa nchi kutokuwa na ubaguzi hata kwa watu wasiomuunga mkono.
Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya Rais Kikwete kukubali...
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Wabunge wa Bunge la Katiba washauriwa kuweka maslahi ya taifa mbele
Kaimu Mwalimu mkuu wa pili kitengo cha walemavu katika shule ya msingi mchanganyiko Ikungi, Donard Adamu Bilali, akizungumza na wanachama wa Singida Press Club, waliotembelea shule hiyo.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Ikungi
KAIMU Mwalimu Mkuu kitengo cha walemavu shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali amewashauri wajumbe wa Bunge la katiba kuimarisha umoja baina yao ili waweze kutengeneza katiba itakayokidhi mahitaji ya Watanzania kwa zaidi ya miaka 50...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Oct
Maalim Seif awashauri wananchi kuweka mbele maslahi ya Zanzibar
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi mkuu kwenye uwanja wa Mkokotoni, Jimbo la Tumbatu, Unguja Kaskazini. Na Hassan Hamad, OMKR. Monday, October […]
The post Maalim Seif awashauri wananchi kuweka mbele maslahi ya Zanzibar appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
GPLNIMEJIUNGA NA ACT ILI KUENDELEA KUWEKA MBELE MASLAHI YA TAIFA - ZITTO KABWE
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mkuya: Siyo kosa Watanzania kuweka fedha Uswisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-11Feb2015.jpg)
“Sisi hatujaona kama ni kosa kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kwenye mabenki ya nje na wala isionekane kama ni jambo haramu kabisa.
Kama serikali tungetamani wawekeze kwenye benki nchini ili kukuza sekta ya fedha lakini pia hatuwafungi kutowekeza nje,” alisema.
“Tunachofanya ni kuiangalia hiyo ripoti ili kujua ukweli wa taarifa hizo, lakini taarifa hiyo haimaanishi kwamba ni kosa kubwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2Ev_tfO7kSA/XlOt2MNsGSI/AAAAAAALfAI/R3XlTd4Xun4wP4Vj92MOOVou3vkTdHuowCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200223-WA0007.jpg)
WALIMU MBWARA WAJICHANGA FEDHA KUWEKA UMEME MADARASANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-2Ev_tfO7kSA/XlOt2MNsGSI/AAAAAAALfAI/R3XlTd4Xun4wP4Vj92MOOVou3vkTdHuowCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200223-WA0007.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200223-WA0009.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,RUFIJI
WALIMU wa shule ya Sekondari ya Kata ya Mbwara ,Jimbo la Rufiji Mkoani Pwani, wameweka umeme katika vyumba vya madarasa shuleni hapo pamoja na nyumba wanazoishi kwa gharama ya sh.milioni tatu ili kuondoa changamoto ya ukosefu wa umeme iliyokuwepo .
Juhudi hiyo ,itasaidia kuinua taaluma kwa wanafunzi wa shule hiyo ,kwani wanaweza kujisomea nyakati za usiku .
Mwalimu Mkuu shuleni ya sekondari Mbwara, Millo Msovela, akieleza juu ya suala hilo wakati mbunge wa viti...