Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam FC yawaita Yanga mezani

UONGOZI wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC, umewataka Yanga kwenda kufanya mazungumzo kama wanamuhitaji kiungo wao, Salum Abubakari ‘Sure Boy’, kwani bado wana mkataba naye. Yanga wamefikia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

CCM yawaita 16 kwa kuanza kampeni kabla

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kimewaita kwenye Kamati ya Kanuni na Maadili wanachama wake 16 kwa kuvunja miiko ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya wakati.

 

10 years ago

Michuzi

Covenant Bank yawaita TFF, yajitolea Kuwadhamini Twiga Stars.

  Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja (Katikati) akizungumza na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya Michezo kwa klabu ya Mpira ya Lucenti, itakayoshiriki michuano ya kanda ya Nyanda za juu kusini, itakayofanyika Sumbawanga Mkoani Rukwa. Kushoto ni Meneja Fedha wa Benki hiyo Patrick Kyamba na Mwenyekiti wa Klabu ya Lucent, Yusuph Liambe.  Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja, (Katikati) Mwenyekiti wa Klabu ya...

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja awaita UKAWA mezani

SUKU moja baada ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kueleza kusudio lao la kufungua kesi Mahakama Kuu kuhoji mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba, Mwenyekiti Kamati ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni vita Yanga, Azam

KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinatarajiwa kuendelea tena leo katika viwanja viwili kwa timu ya Yanga kuwakaribisha Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Wakati Yanga...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Azam usihadithiwe

AZAM FC ina kibarua kigumu cha kufuta uteja kwa Yanga katika mechi za Ngao ya Jamii wakati zitakapomenyana leo katika mechi ya kufungua msimu wa 2015-16 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaipumulia Yanga

TIMU ya soka ya Azam FC imezidi kujiimarisha zaidi katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Majimaji ya Songea mabao 2-0 katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Majimaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kikaangoni

Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, inaendelea leo kwa mechi mbili zitakazopigwa kwenye viwanja viwili tofauti, Jamhuri Morogoro na Azam Complex Jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani