Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sam wa Ukweli ajipanga upya

p>MKALI wa muziki wa kizazi kipya nchini, Salim Mohamed ‘Sam wa Ukweli’ amejipanga kurudi upya katika tasnia ya muziki huo baada ya kuwa kimya muda mrefu. Akizungumza na Tanznia Daima...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bob Junior ajipanga upya

BAADA ya kimya cha muda mrefu, mkali wa muziki wa kizazi kipya na muandaaji wa muziki huo, Rahim Rummy ‘Bob Junior’, amesema anatarajia kurudi upya akiwa na kazi yake ya ‘Bolingo’. Akizungumza Dar es Salaam jana,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Samir ajipanga kutoka na Nyororo

BAADA ya kufanya vizuri na kibao chake cha  ‘Nyororo’, Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Samir Kassim ‘Samir’, anatarajiwa kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la Fitina hivi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kalama ajipanga Mei Mosi

Bondia Kalama Nyilawila amesaini mkataba kwa ajili ya kupanda ulingoni Mei Mosi kumkabili mshindi baina ya Thomas Mashali na Japhet Kaseba.

 

9 years ago

Bongo Movies

Jokate Ajipanga Kusaidia Wasichana

Mjumbe wa Kamati Mpya ya Miss Tanzania Jokate Mwegelo amesema kuwa kuvikwa kofia nyingi mbali na majukumu yake mengi haviwezi kumchanganya kuendelea mbele, kusaidia wasichana wenye ndoto kama zake.

okate kupitia jukumu lake jipya kama msemaji wa Kamati ya Miss Tanzania ambaye ni mjasiriamali na msanii wa muziki ameiambia eNewz kuwa, jukumu hili ni asili yake ya pili na hajilazimishi kufanya, akiamini katika falsafa ya anayepewa mengi anatarajiwa pia kurejesha mengi.

eNewz pia hatukuweza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtangazaji ajipanga kufyatua albamu

MTANGAZAJI wa Radio Ushindi iliyopo mkoani Mbeya, Calvin Nyorobi, amejitosa katika huduma ya uimbaji wa muziki wa injili na yupo hatua za mwisho kukamilisha albamu yake ya audio na video....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kayala ajipanga kufanya makubwa

MUIMBAJI wa nyimbo za injili anayetamba na wimbo ‘Siwema’, George Kayala, ameahidi kuweka rekodi katika uzinduzi wa albamu yake ya ‘Siwema’ utakaofanyika katika Kanisa la WRM, Matembele ya Pili Kivule...

 

9 years ago

Habarileo

Tegete ajipanga kuipaisha Mwadui

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete amesema kwa sasa yupo fiti kwa ajili ya kuitumikia timu yake mpya ya Mwadui FC, na kuhakikisha inamaliza msimu ikiwa nafasi tatu za juu.

 

10 years ago

GPL

ESHA AJIPANGA KUMUOMBA RADHI CLOUD

Na Hamida Hassan
Staa wa filamu za Kibongo, Esha Buheti amesema anajipanga kumtafuta msanii mwenzake Issa Musa ‘Cloud’ ili amuombe msamaha akiamini bila kufanya hivyo mambo hayawezi kumnyookea.Esha alisema yeye na Cloud ni kama mtu na kaka yake lakini kwa hali ilivyo inaonekana kama msanii mwenzake huyo ana kinyongo naye hivyo atakwenda kumuomba radhi ili tofauti zao ziondoke. Staa wa filamu za Kibongo, Esha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani