Mtangazaji ajipanga kufyatua albamu
MTANGAZAJI wa Radio Ushindi iliyopo mkoani Mbeya, Calvin Nyorobi, amejitosa katika huduma ya uimbaji wa muziki wa injili na yupo hatua za mwisho kukamilisha albamu yake ya audio na video....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Oct
Vijana wasaidiwa kufyatua matofali
VIKUNDI vya vijana mkoani Shinyanga vimepatiwa mashine za kufyatua matofali za kisasa huku wakionywa kutogeuzwa kuwa vijiwe vya siasa na magenge ya kufanya uhalifu.
11 years ago
Habarileo29 Jul
Atuhumiwa kukutwa na mitambo ya kufyatua dola
RAIA wa Kongo, Ambanipo Siva (33) aliyekiri kuishi nchini bila kuwa na kibali amedaiwa kukutwa na mitambo ya kutengezea dola bandia za Marekani.
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
NHC yazinyang’anya halmshauri za mikoa mashine za kufyatua matofali
*Mkoa wa Katavi na Rukwa washindwa kutumia fursa ya msaada huo
*NHC yanyang’anya mashine Halmashauri za Mikoa hiyo
*Zatakiwa kuomba upya mashine hizo na kuunda vikundi imara
Katika kuhakikisha kuwa rasilimali za umma zinatunzwa, kutumika ipasavyo na kuhakikiwa, NHC imeendelea kuwakagua vijana waliopewa msaada wa mashine za kufyatulia matofali yatakayowezesha wananchi kujijengea nyumba za gharama nafuu katika Halmashauri zote za Mikoa ya Katavi, Mbeya na kukamilika Mkoani Iringa.
Kwa ujumla,...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HCYR_Y0cGxk/VIypujKJxHI/AAAAAAAARkE/AqjsfnChqqs/s72-c/IMGP3964%5B4%5D.jpg)
Lema avamiwa na ‘UVCCM’, gari yake lavyunjwa vioo; alazimika kufyatua risasi tatu hewani kujiokoa!
![](http://2.bp.blogspot.com/-HCYR_Y0cGxk/VIypujKJxHI/AAAAAAAARkE/AqjsfnChqqs/s640/IMGP3964%5B4%5D.jpg)
Mbunge wa Arusha Mjini Mh Godbless Lema amekubwa na tukio la aina yake maeneo ya Clock Tower Jijini hapa ambapo vijana wanaoaminika kuwa vijana “wafuasi wa UVCCM” walishamshambulia kwa mawe na kufanikiwa kuvunja kioo cha nyuma ubavuni cha gari la Mbunge huyo.
Tukio hilo la kustaajabisha na kutiasha katika swala la amani na usalama kipindi hiki cha kampeni za Serikali za mitaa lilitokea kwenye Sheli iliyopo mkabala na New Arusha...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Kayala ajipanga kufanya makubwa
MUIMBAJI wa nyimbo za injili anayetamba na wimbo ‘Siwema’, George Kayala, ameahidi kuweka rekodi katika uzinduzi wa albamu yake ya ‘Siwema’ utakaofanyika katika Kanisa la WRM, Matembele ya Pili Kivule...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Bob Junior ajipanga upya
BAADA ya kimya cha muda mrefu, mkali wa muziki wa kizazi kipya na muandaaji wa muziki huo, Rahim Rummy ‘Bob Junior’, amesema anatarajia kurudi upya akiwa na kazi yake ya ‘Bolingo’. Akizungumza Dar es Salaam jana,...
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Kalama ajipanga Mei Mosi
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Samir ajipanga kutoka na Nyororo
BAADA ya kufanya vizuri na kibao chake cha ‘Nyororo’, Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Samir Kassim ‘Samir’, anatarajiwa kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la Fitina hivi...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Sam wa Ukweli ajipanga upya