Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samir ajipanga kutoka na Nyororo

BAADA ya kufanya vizuri na kibao chake cha  ‘Nyororo’, Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Samir Kassim ‘Samir’, anatarajiwa kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la Fitina hivi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Saratani:Mwanaharakati ajifunga nyororo

Asema serikali na jamii kwa jumla inapaswa kutoa raslimali zilizopo kununua vifaa vya tiba kwa wagonjwa ambao wanangojea tiba hadi mwaka 2017.

 

10 years ago

Michuzi

AJALI YA LORI NYORORO IRINGA, LAFUNGA BARABARA KWA SAA KADHAA

Edwin Moshi wa Eddy BlogWatumiaji wa barabara ya Iringa Njombe wamekwama toka jana majira ya saa 10 jioni kufuatia ajali ya lori lililobeba shaba lenye namba za usajili T 261 BCM linalovuta tela lenye namba za usajili T 595 BAS kupata ajali na kufunga barabara na kusababisha magari kushindwa kupita.  Mtandao huu umeshuhudia msururu mkubwa wa magari yanayokwenda mikoa ya njombe Ruvuma Mbeya na nchi jirani, pamoja na yanayotoka kwenye mikoa hiyo kwenda Iringa Dodoma, Dare es Salaam na mikoa...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Samir — Darling

Video kutoka kwa Samir wimbo unaitwa Darling video imeongozwa na Pablo

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Samir FT. Ney wa Mitego — Nitamchezea

Hii ni ngoma mpya kutoka kwa Samir akimshirikisha Ney wa Mitego ngoma inaitwa “Nitamchezea” Producer Mr T Touch

 

10 years ago

Africanjam.Com

SAMIR NASRI DENIES SEEKING ARSENAL RETURN


A report on Thursday claimed the 28-year-old had approached Arsene Wenger over the possibility of re-joining the Gunners but he insists there is no truth to the story

Samir Nasri has rubbished speculation suggesting that he asked Arsene Wenger if he could return to Arsenal.
A report on Thursday claimed the France international had made contact with his former boss to find out if there were any possibility of coming back to the Emirates Stadium, only to be told that the Gunners are well stocked...

 

5 years ago

Michuzi

TAARIFA YA KUPOTEA KWA MTOTO SAMIR DAIM LUAMBANI

Mtoto amepotea anaitwa Samir Daim Luambani ana miaka 8, anasoma Darasa la pili St.Mary’s. Mtoto anaishi Image- Dodoma. Amepotea tarehe 14/04/2020 saa 1 jioni akiwa amevaa suruali track suti nyeusi na jezi yenye rangiya kijani na nyeupe na koti la dark blue.  Tafadhali kwa atakayemuona atoe taarifa kituo cha polisi kilicho karibu naye au kwa namba zifuatazo namba: 0712 455 228, 0653 822 486, 0716 671 085, 0682 805 208, 0787 239 439, 0712 730 788.

 

5 years ago

TalkSPORT.Com

Bacary Sagna slams ‘harsh’ Cesc Fabregas for saying only Robin van Persie and Samir Nasri were on his level at

Bacary Sagna slams ‘harsh’ Cesc Fabregas for saying only Robin van Persie and Samir Nasri were on his level at  talkSPORT.comArsenal legend Paul Merson defends Cesc Fabregas over Gunners transfer decision  Mirror OnlineNews Sagna hits back at former team-mate Fabregas over Arsenal claims  Football365.com"I was surprised" - Bacary Sagna hits back at Cesc Fabregas over Arsenal criticism  FourFourTwoArsenal legend Merson: Fabregas was right to join Barcelona in 2011  Tribal FootballView Full...

 

10 years ago

Habarileo

Tegete ajipanga kuipaisha Mwadui

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete amesema kwa sasa yupo fiti kwa ajili ya kuitumikia timu yake mpya ya Mwadui FC, na kuhakikisha inamaliza msimu ikiwa nafasi tatu za juu.

 

10 years ago

Bongo Movies

Jokate Ajipanga Kusaidia Wasichana

Mjumbe wa Kamati Mpya ya Miss Tanzania Jokate Mwegelo amesema kuwa kuvikwa kofia nyingi mbali na majukumu yake mengi haviwezi kumchanganya kuendelea mbele, kusaidia wasichana wenye ndoto kama zake.

okate kupitia jukumu lake jipya kama msemaji wa Kamati ya Miss Tanzania ambaye ni mjasiriamali na msanii wa muziki ameiambia eNewz kuwa, jukumu hili ni asili yake ya pili na hajilazimishi kufanya, akiamini katika falsafa ya anayepewa mengi anatarajiwa pia kurejesha mengi.

eNewz pia hatukuweza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani