Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faida tatu za kumuomba mwanao msamaha

Wengi wetu tumewahi kuwatamkia watoto wetu maneno makali ambayo baadaye tukiyatafakari, hatuamini kuwa maneno hayo yametoka kinywani mwetu. Baadhi ya wazazi huvuka mipaka na kuwatamkia watoto wao maneno kama, “Wewe ni hasara tupu!”, “Mbwa kabisa wewe!”, “Huna akili hata kidogo!” na mengine kadha wa kadha. Inakuwaje maneno haya ambayo sisi hatukupenda kuyasikia kutoka kwa wazazi wetu sasa yanatutoka kinywani kirahisi pale watoto wetu wanapokosea?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Zipo faida, hasara za serikali mbili au tatu kisiasa, kiuchumi

>Ni mfumo upi wa serikali unaoifaa Tanzania kwenye mazingira yake ya sasa?Pia, ni zipi faida, hasara kwa muundo wowote unaopendekezwa?

 

10 years ago

Dewji Blog

Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014

EXIM Q3 PIX 1

Meneja Fedha Mwandamizi  Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya benki ya kabla ya kodi imekua kwa asilimia 9  mpaka shilingi bilioni 5.4 ikilinganishwa na kipindi hicho mwaka jana, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Benki, Bw. George Binde, Mkuu wa Hazina,  Bw. George Shumbusho (wapili kushoto) Meneja Utafiti na Chambuzi za...

 

10 years ago

GPL

ESHA AJIPANGA KUMUOMBA RADHI CLOUD

Na Hamida Hassan
Staa wa filamu za Kibongo, Esha Buheti amesema anajipanga kumtafuta msanii mwenzake Issa Musa ‘Cloud’ ili amuombe msamaha akiamini bila kufanya hivyo mambo hayawezi kumnyookea.Esha alisema yeye na Cloud ni kama mtu na kaka yake lakini kwa hali ilivyo inaonekana kama msanii mwenzake huyo ana kinyongo naye hivyo atakwenda kumuomba radhi ili tofauti zao ziondoke. Staa wa filamu za Kibongo, Esha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kidato cha nne watakiwa kumuomba Mungu

WANAFUNZI walioanza mitihani yao ya kuhitimu kidato cha nne hapa nchini wametakiwa kumtanguliza Mungu kuliko kutegemea njia mbadala zisizo kuwa na msingi. Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na Mchungaji...

 

10 years ago

Bongo5

Said Fella kumuomba Rais Kikwete kuzindua nyumba za kisasa alizowajengea Yamoto Band

Said Fella kupitia kampuni yake ya Mkubwa na Wanawe Youth Centre, anawajengea nyumba za kisasa wasanii wanne wa kundi la Yamoto Band na anataka Rais Jakaya Kikwete azizindue! Kwa mujibu wa Fella nyumba hizo zinazojengwa kwenye eneo moja zitakamilika mwezi July na wasanii hao kukabidhiwa kila mmoja ya kwake. Kupitia post yake ya jana ya […]

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

5 years ago

CCM Blog

KANISA LAINGIA KATIKA IBADA YA SIKU TISA KUMUOMBA MUNGU AMFICHE RAIS DK. MAGUFULI DHIDI YA WAOVU

Rais Dk. MagufuliTEGETA, Dar es Salaam
Kanisa la Halisi la Mungu Baba lililopo Tegeta jijini Dar es Salaam, limeingia katika ibada ya siku tisa kumuombea Rais Dk. John Magufuli, Mungu amfiche ili waovu wasimdhuru na ampe maisha marefu ili endelee kuwatumikia Watanzania kwa hekima, busara na maarifa.

Akizungumza jana katika ibada hiyo ambayo ilianza siku sita zilizopita, Kiongozi wa Kanisa hilo anayejulikana kwa jina la Baba wa Uzao aliwaambia waumini kwamba Kanisa limechukua hatua ya kumuombea...

 

11 years ago

Mwananchi

Mjengee mwanao kujiamini

Je, mwanao amekuwa na woga katika kufanya mambo yake, au ana tatizo la kuwa na aibu kupita kiasi?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani