MACHUNGU YA UFISADI WA ESCROW YAANZA KUONEKANA ,SHILINGI YATANZANIA YASHUKA RASMI,SOMA HAPA KUJUA.
Dar es Salaam. Hatua ya wahisani kuzuia Sh1 trilioni za misaada ya kibajeti kwa Serikali kutokana na kashfa ya IPTL na wasiwasi wa Uchaguzi Mkuu mwakani, ni miongoni mwa sababu za kuporomoka kwa kasi thamani ya Shilingi nchini, imefahamika.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wiki iliyopita, wasomi na wadau wa biashara nchini walisema sababu nyingine ni uagizaji na uuzaji bidhaa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Januari 2, mwaka huu, Dola moja ya Marekani ilikuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Oct
JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA
![wema sepetu bongoclan.co.tz](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_.jpg)
![wema sepetu bongoclan.co.tz..](http://www.bongoclan.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/wema-sepetu-bongoclan.co_.tz_..-300x201.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Shilingi ya Tanzania yashuka thamani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s72-c/tibaijuka.jpg)
PROF.ANNA TIBAIJUKA AAGA BUNGENI... AKUMBUKA MACHUNGU YA ESCROW
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s400/tibaijuka.jpg)
MBUNGE wa Muleba Kusini mkoani Kagera Profesa Anna Tibaijuka ametangaza rasmi kuwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2020 hatagombea tena nafasi ya ubunge na anakwenda kupumzika
huku akitumia nafasi hiyo kuelezea namna alivyoumizwa na sakata la fedha za Escrow.
Profesa Tibaijuka ametangaza uamuzi wake wa kutogombea tena ubunge kwenye jimbo hilo leo Aprili 3 mwaka 2020 ambapo ametumia nafasi hiyo kutoa shukrani kwa wananchi wa Muleba kwa namna ambavyo wamempa...
10 years ago
Bongo Movies26 Jan
Hapa na Pale: Amanda Ajipoza Machungu na Paka!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Sabrina Poshi ‘Amanda’ ameonekana kama anajipoza machungu kwa kugeuza paka kuwa kama mtoto wake kwa kumpakata na kumtunza kama binadamu.
Akipiga stori na GPL, Amanda alisema amefikia hatua hiyo kutokana kwa sababu anapenda sana watoto hivyo kwa kuwa hajajaliwa kuwapata ndiyo maana ameamua kumtunza paka huyo mdogo mwenye miezi miwili ambapo anampa mahitaji muhimu ikiwa ni pamoja na kumpakata kama mtoto.
“Jamani haka ndiyo kabebi kangu ninakapenda sana na...
11 years ago
MichuziMatunda ya Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa yaanza kuonekana
Mwekezaji huyo amevutiwa zaidi...
9 years ago
Vijimambo17 Sep
MCHUNGAJI MTIKILA AIBUKA NA KIHOJA HIKI LEO,NAYE AUNGANA NA LIPUMBA NA SLAA KUIMBA WIMBO WA LOWASSA,SOMA HAPO KUJUA
NA KAROLI VINSENTMWENYEKITI wa cha Democratic Party (DP), Christopher Mtikila ameibuka na kihoja pale alipowataka Watanzania siku ya kupiga kura tarehe 25 octoba mwaka huu kutoipigia kura kipengele cha Urais na wataka watanzaniakuwachagua wabunge na Madiwani peke yake,kwakuwa wagombea wote wa urais waliosiamishwa kwenye vyama vayo hawana uwezo wa kuliongoza taifa hili.Kauli ya hiyo ya Mchangaji Mtikila ameitoa leo Jijini Dar es Saalam wakati wa mkutano na waandishi wa Habari ambapo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EzsrLfD_lps/Xosxsvji5YI/AAAAAAAA_Ak/RUZOqKXlW_oTekQtxGpCDQn_nCDzVFCQwCNcBGAsYHQ/s72-c/52395243_303.jpg)
MATUMAINI YAANZA KUONEKANA ULAYA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EzsrLfD_lps/Xosxsvji5YI/AAAAAAAA_Ak/RUZOqKXlW_oTekQtxGpCDQn_nCDzVFCQwCNcBGAsYHQ/s640/52395243_303.jpg)
Haya yanakuja wakati ambapo idadi ya vifo Marekani inaelekea kufikia watu elfu kumi.
Virusi vya corona vimeuathiri karibu ulimwengu mzima na kuwapelekea karibu nusu ya watu duniani kusalia majumbani na kupelekea vifo vya karibu watu sabini elfu.
Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza, hapo jana alitoa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VPKY9nNDLDc/Uk1b80BggeI/AAAAAAAAGm0/H45dRC6HgWY/s72-c/blog13.jpg)
TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA
![](http://1.bp.blogspot.com/-VPKY9nNDLDc/Uk1b80BggeI/AAAAAAAAGm0/H45dRC6HgWY/s640/blog13.jpg)
Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...
9 years ago
Bongo526 Dec
Ridhiwan aweka mambo hadharani, soma alichojibu kuhusiana na shutuma za ufisadi dhidi yake
![Riz](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Riz-300x194.jpg)
Soma kile alichoandika Ridhiwan Kikwete kujibu tuhuma mbalimbali za ufisadi zilizomwandama kwa miaka mingi.
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10