Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Straus Kahn aondolewa mashtaka

Kiongozi mkuu wa zamani wa shirika la fedha Duniani IMF, Dominique Strauss Kahn, ameondolewa mashtaka yote ya kujihusisha na makahaba kinyume cha sheria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Straus Kahn ahusishwa na ukahaba

Aliyekuwa mkuu wa shirika la fedha duniani IMF,Dominique Strauss Kahn ameshtakiwa kwa kuhusika na mtandao wa ukahaba

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi aondolewa mashtaka Marekani

Ghasia zimezuka nchini Marekani, baada ya wanasheria kuamua kutomfungulia mashtaka polisi wa kizungu aliyeua kijana mweusi.

 

10 years ago

Vijimambo

Ex-IMF chief Strauss-Kahn acquitted of pimping charges in France



LILLE, France – Former International Monetary Fund chief Dominique Strauss-Kahn has been cleared of pimping charges in a French trial that hinged on sex parties that took place in the midst of the global financial crisis.Friday's verdict closes four years of legal drama. Ten others were acquitted as well.

Strauss-Kahn had told the court the parties were much-needed "recreational sessions" and he did not know the women who took part were prostitutes. In often sordid testimony, the women...

 

11 years ago

Habarileo

Mkurugenzi wa Wanyamapori aondolewa

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari, Nyalandu alisema amechukua hatua hiyo kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa kazi wa idara hiyo katika mapambano dhidi ya ujangili, yanayoendelea nchini.

 

10 years ago

GPL

ANDY MURRAY AONDOLEWA US OPEN

Mserbia Novak Djokovic baada ya ushindi dhidi ya Murray. Andy Murray wakati wa mpambano huo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto wa boksi aondolewa mashine

HALI ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne, inaendelea kuimarika baada ya kutolewa mashine maalumu ya kumsaidia kupumua. Siku mbili zilizopita, Nasra aliwekewa mashine na kupata...

 

9 years ago

Bongo5

#TECNOOwntheStage: Banye wa Tanzania aondolewa

Banye

Episode ya nne ya shindano la kusaka vipaji vya kuimba kwa mfumo wa karaoke linalohusisha nchi tatu, TECNO Own the Stage imeruka jana Jumapili kupitia Africa Magic Showcase.

Banye
Washiriki walipokuwa wakisubiri kujua hatma yao

Episode hiyo ilijumuisha washiriki wa kundi la 3 waliotakiwa kuimba nyimbo za kiafrika. Ikiwa na ushindani mkali, washiriki wa Tanzania waliopanda jukwaani ni pamoja na Banye, Mary, Jeff Mduma na Zooccu.
Hata hivyo Tanzania imepata pigo baada ya mshiriki wake Banye...

 

11 years ago

Habarileo

Mkurugenzi wa Wanyamapori nchini aondolewa

Profesa Alexander Songorwa WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto Satrine aondolewa risasi kichwani

Madaktari nchini Kenya, wamefanikiwa kuondoa risasi iliyokuwa imekwama katika ubongo wa mtoto Satrine Osinya mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani