Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


#TECNOOwntheStage: Banye wa Tanzania aondolewa

Banye

Episode ya nne ya shindano la kusaka vipaji vya kuimba kwa mfumo wa karaoke linalohusisha nchi tatu, TECNO Own the Stage imeruka jana Jumapili kupitia Africa Magic Showcase.

Banye
Washiriki walipokuwa wakisubiri kujua hatma yao

Episode hiyo ilijumuisha washiriki wa kundi la 3 waliotakiwa kuimba nyimbo za kiafrika. Ikiwa na ushindani mkali, washiriki wa Tanzania waliopanda jukwaani ni pamoja na Banye, Mary, Jeff Mduma na Zooccu.
Hata hivyo Tanzania imepata pigo baada ya mshiriki wake Banye...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

#TecnoOwnTheStage: Jeff wa Tanzania atolewa (Video)

Tecno

Tanzania imeendelea kuwa vibonde kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria baada ya mshiriki wa tatu kuyaaga mashindano hayo.

Awamu hii ni Jeff ndiye aliyeyaaga mashindano hayo baada ya kushindwa kuwaridhisha majaji watatu wa shindano hilo.

Kenya bado ina washiriki wote watano walioingia. Tanzania na Nigeria zimebakiza washiriki wawili kila moja.

Hata hivyo mshiriki wa Tanzania, Nandy ndiye ameendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuwakosha watazamaji...

 

9 years ago

Bongo5

#TECNOOwnTheStage: Zooccu wa Tanzania ayaaga mashindano

7

Ilikuwa ni weekend nyingine yenye pigo kwa Tanzania kwenye shindano la TECNO Own The Stage, show ya kwanza kwa mwaka 2016 iliyoruka Jumapili, January 3.

7

Washiriki walitumbuiza nyimbo za baadhi ya makundi maarufu ya muziki duniani. Bahati mbaya Zooccu wa Tanzania alikuwa mmoja wa washiriki watatu walioyaaga mashindano.

Aliimba wimbo wa kundi la dancehall la Jamaica, T.O.K. uitwao ‘Footprints’ lakini alishindwa kuwashawishi majaji.

Mtanzania mwingine, Nandy anayeonekana kuwa kipenzi cha wengi...

 

9 years ago

Bongo5

#TecnoOwnTheStage: Kechu wa Tanzania ayaaga mashindano (Video)

Sara-Jackson8

Shindano la Tecno Own The Stage jana Jumapili liliendelea katika episode yake ya tano. Shindano hilo lilishuhudia Mtanzania mwingine, Sarah Jackson aka Kechu akiyaaga mashindano baada ya kushindwa kuwashawishi majaji.

Sara-Jackson8
Kechu

Kechu alitumbuiza wimbo wa Vanessa Mdee, Nobody But Me lakini wakati anaanza alijikuta akiachwa na mashairi na kuudakia wimbo mbele. Hilo kwa mujibu wa jaji Yemi Alade lilikuwa ni kosa kubwa hasa kwakuwa mashindano hayo ni karaoke na hivyo kusoma mashairi ni jambo la...

 

11 years ago

Habarileo

Mkurugenzi wa Wanyamapori aondolewa

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari, Nyalandu alisema amechukua hatua hiyo kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa kazi wa idara hiyo katika mapambano dhidi ya ujangili, yanayoendelea nchini.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama Episode 8 ya #TecnoOwnTheStage

12346092_1646035942321370_1206370583_n

Tazama episode ya nane ya show ya Tecno Own the Stage hapa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Mfahamu Jaji Bien wa #TECNOOwntheStage

BIEN (1)

Bien-Aime Baraza ni muimbaji mkuu wa kundi maarufu la Kenya, Sauti Sol. Pamoja na kuimba anapiga gitaa pia. Uandishi wake wa mashairi unakubalika na wengi.

Bien

Tangu kundi la Sauti Sol lianze mwaka 2006, Bien-Aime ameendelea kuwa na mchango mkubwa ikiwa pamoja na kushiriki kutengeneza album tatu za kundi hilo, Mwanzo (2008), Sol Filosofia (2011) na Live and Die in Afrika (2015).

Ameandika pia nyimbo kwa wasanii wengine likiwemo kundi la Elani, Amos & Josh na Wendy Kimani.

Mwaka huu ameungana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Straus Kahn aondolewa mashtaka

Kiongozi mkuu wa zamani wa shirika la fedha Duniani IMF, Dominique Strauss Kahn, ameondolewa mashtaka yote ya kujihusisha na makahaba kinyume cha sheria.

 

11 years ago

Habarileo

Mkurugenzi wa Wanyamapori nchini aondolewa

Profesa Alexander Songorwa WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto wa boksi aondolewa mashine

HALI ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne, inaendelea kuimarika baada ya kutolewa mashine maalumu ya kumsaidia kupumua. Siku mbili zilizopita, Nasra aliwekewa mashine na kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani