#TECNOOwntheStage: Banye wa Tanzania aondolewa
Episode ya nne ya shindano la kusaka vipaji vya kuimba kwa mfumo wa karaoke linalohusisha nchi tatu, TECNO Own the Stage imeruka jana Jumapili kupitia Africa Magic Showcase.
Washiriki walipokuwa wakisubiri kujua hatma yao
Episode hiyo ilijumuisha washiriki wa kundi la 3 waliotakiwa kuimba nyimbo za kiafrika. Ikiwa na ushindani mkali, washiriki wa Tanzania waliopanda jukwaani ni pamoja na Banye, Mary, Jeff Mduma na Zooccu.
Hata hivyo Tanzania imepata pigo baada ya mshiriki wake Banye...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Dec
#TecnoOwnTheStage: Jeff wa Tanzania atolewa (Video)
![Tecno](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Tecno-300x194.jpg)
Tanzania imeendelea kuwa vibonde kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria baada ya mshiriki wa tatu kuyaaga mashindano hayo.
Awamu hii ni Jeff ndiye aliyeyaaga mashindano hayo baada ya kushindwa kuwaridhisha majaji watatu wa shindano hilo.
Kenya bado ina washiriki wote watano walioingia. Tanzania na Nigeria zimebakiza washiriki wawili kila moja.
Hata hivyo mshiriki wa Tanzania, Nandy ndiye ameendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuwakosha watazamaji...
9 years ago
Bongo504 Jan
#TECNOOwnTheStage: Zooccu wa Tanzania ayaaga mashindano
![7](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/7-300x194.png)
Ilikuwa ni weekend nyingine yenye pigo kwa Tanzania kwenye shindano la TECNO Own The Stage, show ya kwanza kwa mwaka 2016 iliyoruka Jumapili, January 3.
Washiriki walitumbuiza nyimbo za baadhi ya makundi maarufu ya muziki duniani. Bahati mbaya Zooccu wa Tanzania alikuwa mmoja wa washiriki watatu walioyaaga mashindano.
Aliimba wimbo wa kundi la dancehall la Jamaica, T.O.K. uitwao ‘Footprints’ lakini alishindwa kuwashawishi majaji.
Mtanzania mwingine, Nandy anayeonekana kuwa kipenzi cha wengi...
9 years ago
Bongo514 Dec
#TecnoOwnTheStage: Kechu wa Tanzania ayaaga mashindano (Video)
![Sara-Jackson8](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Sara-Jackson8-300x194.jpg)
Shindano la Tecno Own The Stage jana Jumapili liliendelea katika episode yake ya tano. Shindano hilo lilishuhudia Mtanzania mwingine, Sarah Jackson aka Kechu akiyaaga mashindano baada ya kushindwa kuwashawishi majaji.
Kechu
Kechu alitumbuiza wimbo wa Vanessa Mdee, Nobody But Me lakini wakati anaanza alijikuta akiachwa na mashairi na kuudakia wimbo mbele. Hilo kwa mujibu wa jaji Yemi Alade lilikuwa ni kosa kubwa hasa kwakuwa mashindano hayo ni karaoke na hivyo kusoma mashairi ni jambo la...
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mkurugenzi wa Wanyamapori aondolewa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo. Kwa mujibu wa taarifa yake aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari, Nyalandu alisema amechukua hatua hiyo kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa kazi wa idara hiyo katika mapambano dhidi ya ujangili, yanayoendelea nchini.
9 years ago
Bongo506 Jan
Video: Tazama Episode 8 ya #TecnoOwnTheStage
![12346092_1646035942321370_1206370583_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/12346092_1646035942321370_1206370583_n-300x194.jpg)
Tazama episode ya nane ya show ya Tecno Own the Stage hapa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo509 Dec
Mfahamu Jaji Bien wa #TECNOOwntheStage
![BIEN (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/BIEN-1-300x194.jpg)
Bien-Aime Baraza ni muimbaji mkuu wa kundi maarufu la Kenya, Sauti Sol. Pamoja na kuimba anapiga gitaa pia. Uandishi wake wa mashairi unakubalika na wengi.
Tangu kundi la Sauti Sol lianze mwaka 2006, Bien-Aime ameendelea kuwa na mchango mkubwa ikiwa pamoja na kushiriki kutengeneza album tatu za kundi hilo, Mwanzo (2008), Sol Filosofia (2011) na Live and Die in Afrika (2015).
Ameandika pia nyimbo kwa wasanii wengine likiwemo kundi la Elani, Amos & Josh na Wendy Kimani.
Mwaka huu ameungana...
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Straus Kahn aondolewa mashtaka
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mkurugenzi wa Wanyamapori nchini aondolewa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amemuondoa katika nafasi yake Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexander Songorwa na kumteua Paul Sarakikya kukaimu nafasi hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Mtoto wa boksi aondolewa mashine
HALI ya mtoto Nasra Rashid (4) aliyefichwa katika boksi kwa miaka minne, inaendelea kuimarika baada ya kutolewa mashine maalumu ya kumsaidia kupumua. Siku mbili zilizopita, Nasra aliwekewa mashine na kupata...