Mfahamu Jaji Bien wa #TECNOOwntheStage
Bien-Aime Baraza ni muimbaji mkuu wa kundi maarufu la Kenya, Sauti Sol. Pamoja na kuimba anapiga gitaa pia. Uandishi wake wa mashairi unakubalika na wengi.
Tangu kundi la Sauti Sol lianze mwaka 2006, Bien-Aime ameendelea kuwa na mchango mkubwa ikiwa pamoja na kushiriki kutengeneza album tatu za kundi hilo, Mwanzo (2008), Sol Filosofia (2011) na Live and Die in Afrika (2015).
Ameandika pia nyimbo kwa wasanii wengine likiwemo kundi la Elani, Amos & Josh na Wendy Kimani.
Mwaka huu ameungana...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Jan
Video: Tazama Episode 8 ya #TecnoOwnTheStage
![12346092_1646035942321370_1206370583_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/12346092_1646035942321370_1206370583_n-300x194.jpg)
Tazama episode ya nane ya show ya Tecno Own the Stage hapa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo507 Dec
#TECNOOwntheStage: Banye wa Tanzania aondolewa
![Banye](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Banye-300x194.jpg)
Episode ya nne ya shindano la kusaka vipaji vya kuimba kwa mfumo wa karaoke linalohusisha nchi tatu, TECNO Own the Stage imeruka jana Jumapili kupitia Africa Magic Showcase.
Washiriki walipokuwa wakisubiri kujua hatma yao
Episode hiyo ilijumuisha washiriki wa kundi la 3 waliotakiwa kuimba nyimbo za kiafrika. Ikiwa na ushindani mkali, washiriki wa Tanzania waliopanda jukwaani ni pamoja na Banye, Mary, Jeff Mduma na Zooccu.
Hata hivyo Tanzania imepata pigo baada ya mshiriki wake Banye...
9 years ago
Bongo521 Dec
#TecnoOwnTheStage: Jeff wa Tanzania atolewa (Video)
![Tecno](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Tecno-300x194.jpg)
Tanzania imeendelea kuwa vibonde kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria baada ya mshiriki wa tatu kuyaaga mashindano hayo.
Awamu hii ni Jeff ndiye aliyeyaaga mashindano hayo baada ya kushindwa kuwaridhisha majaji watatu wa shindano hilo.
Kenya bado ina washiriki wote watano walioingia. Tanzania na Nigeria zimebakiza washiriki wawili kila moja.
Hata hivyo mshiriki wa Tanzania, Nandy ndiye ameendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuwakosha watazamaji...
9 years ago
Bongo504 Jan
#TECNOOwnTheStage: Zooccu wa Tanzania ayaaga mashindano
![7](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/7-300x194.png)
Ilikuwa ni weekend nyingine yenye pigo kwa Tanzania kwenye shindano la TECNO Own The Stage, show ya kwanza kwa mwaka 2016 iliyoruka Jumapili, January 3.
Washiriki walitumbuiza nyimbo za baadhi ya makundi maarufu ya muziki duniani. Bahati mbaya Zooccu wa Tanzania alikuwa mmoja wa washiriki watatu walioyaaga mashindano.
Aliimba wimbo wa kundi la dancehall la Jamaica, T.O.K. uitwao ‘Footprints’ lakini alishindwa kuwashawishi majaji.
Mtanzania mwingine, Nandy anayeonekana kuwa kipenzi cha wengi...
9 years ago
Bongo516 Dec
Video: Episode 5 ya #TecnoOwntheStage ni noma, icheck hapa
![12353195_176592696027845_397528666_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12353195_176592696027845_397528666_n-300x194.jpg)
Tunajua una mambo mengi na upo busy na mishe mishe za kutafuta mkwanja na hivyo unajikuta ukipishana na show hii kali kwenye TV yako. Usihofu, unaweza kuiangalia yote kwenye Youtube. Icheck hapo chini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo523 Dec
Video: Kechu azungumzia alichojifunza kwenye #TecnoOwnTheStage
![Sara-Jackson8](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Sara-Jackson8-1-300x194.jpg)
Kechu ni miongoni mwa washiriki wa Tanzania waliotoka kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria. Alipita kwenye studio za Bongo5 kutueleza alichojifunza huko na kipi kinafuata kwenye muziki wake.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo514 Dec
#TecnoOwnTheStage: Kechu wa Tanzania ayaaga mashindano (Video)
![Sara-Jackson8](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Sara-Jackson8-300x194.jpg)
Shindano la Tecno Own The Stage jana Jumapili liliendelea katika episode yake ya tano. Shindano hilo lilishuhudia Mtanzania mwingine, Sarah Jackson aka Kechu akiyaaga mashindano baada ya kushindwa kuwashawishi majaji.
Kechu
Kechu alitumbuiza wimbo wa Vanessa Mdee, Nobody But Me lakini wakati anaanza alijikuta akiachwa na mashairi na kuudakia wimbo mbele. Hilo kwa mujibu wa jaji Yemi Alade lilikuwa ni kosa kubwa hasa kwakuwa mashindano hayo ni karaoke na hivyo kusoma mashairi ni jambo la...
9 years ago
Bongo528 Dec
Video: #TECNOOwnTheStage episode ya Christmas yawaacha washiriki na mshtuko
![10](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10-300x194.png)
Sehemu ya saba ya kipindi cha shindano la kwanza karaoke barani Afrika, Tecno Own The Stage ilikuwa maalum kwaajili ya Christmas na ilirushwa Jumapili ya December 27.
Washiriki walitumbuiza nyimbo zenye theme ya Christmas. Watanzania wawili, Nandy na Zooccu waliosalia kwenye shindano hilo nao walijifunga kibwebwe.
Zooccu aliimba wimbo ‘White Christmas’ na kuwakuna majaji japo si kama ilivyokuwa kwa mshiriki wa Nigeria, Shaapera aliyeimba ‘We Three Kings of Orient are’ wa ’ Rev. John Henry...
9 years ago
Bongo526 Dec
Video: Uliona jinsi wabongo walivyowakilisha kwenye #TecnoOwnTheStage episode 6?
![12357424_142587802773346_839726629_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12357424_142587802773346_839726629_n-300x194.jpg)
Kuna watanzania wawili tu waliosalia kwenye kipindi cha Tecno Own The Stage, Nancy na Zooccu. Kwenye episode 6 Jeff aliyaaga mashindano. Tazama ilivyokuwa hapo chini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!