Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Uliona jinsi wabongo walivyowakilisha kwenye #TecnoOwnTheStage episode 6?

12357424_142587802773346_839726629_n

Kuna watanzania wawili tu waliosalia kwenye kipindi cha Tecno Own The Stage, Nancy na Zooccu. Kwenye episode 6 Jeff aliyaaga mashindano. Tazama ilivyokuwa hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama Episode 8 ya #TecnoOwnTheStage

12346092_1646035942321370_1206370583_n

Tazama episode ya nane ya show ya Tecno Own the Stage hapa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Episode 5 ya #TecnoOwntheStage ni noma, icheck hapa

12353195_176592696027845_397528666_n

Tunajua una mambo mengi na upo busy na mishe mishe za kutafuta mkwanja na hivyo unajikuta ukipishana na show hii kali kwenye TV yako. Usihofu, unaweza kuiangalia yote kwenye Youtube. Icheck hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: #TECNOOwnTheStage episode ya Christmas yawaacha washiriki na mshtuko

10

Sehemu ya saba ya kipindi cha shindano la kwanza karaoke barani Afrika, Tecno Own The Stage ilikuwa maalum kwaajili ya Christmas na ilirushwa Jumapili ya December 27.

Washiriki walitumbuiza nyimbo zenye theme ya Christmas. Watanzania wawili, Nandy na Zooccu waliosalia kwenye shindano hilo nao walijifunga kibwebwe.

Zooccu aliimba wimbo ‘White Christmas’ na kuwakuna majaji japo si kama ilivyokuwa kwa mshiriki wa Nigeria, Shaapera aliyeimba ‘We Three Kings of Orient are’ wa ’ Rev. John Henry...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Kechu azungumzia alichojifunza kwenye #TecnoOwnTheStage

Sara-Jackson8

Kechu ni miongoni mwa washiriki wa Tanzania waliotoka kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria. Alipita kwenye studio za Bongo5 kutueleza alichojifunza huko na kipi kinafuata kwenye muziki wake.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Utapenda jinsi Idris Sultan alivyofunguka kwenye The Playlist ya Times FM

12331712_916817315061266_1260372400_n

Idris Sultan mtu mwenye maneno mengi. Msikie zaidi jinsi alivyofunguka kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM kinachoendeshwa na Lil Ommy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

#TecnoOwnTheStage: Jeff wa Tanzania atolewa (Video)

Tecno

Tanzania imeendelea kuwa vibonde kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria baada ya mshiriki wa tatu kuyaaga mashindano hayo.

Awamu hii ni Jeff ndiye aliyeyaaga mashindano hayo baada ya kushindwa kuwaridhisha majaji watatu wa shindano hilo.

Kenya bado ina washiriki wote watano walioingia. Tanzania na Nigeria zimebakiza washiriki wawili kila moja.

Hata hivyo mshiriki wa Tanzania, Nandy ndiye ameendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuwakosha watazamaji...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Avril asimulia kwa mara ya kwanza jinsi alivyoanguka kwenye swimming pool wakati akitumbuiza Dar

Kwa mara ya kwanza muimbaji wa Kenya, Avril amelizungumzia tukio lililotokea miaka miwili iliyopita jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akitumbuiza kwenye Pool Party iliyofanyika kwenye hoteli ya Regency Park, Mikocheni. Kwenye show hiyo ambayo rapper Prezzo pia alitumbuiza, Avril alijikuta akitumbukia kwenye bwawa la kuogelea lililokuwa mbele ya jukwaa. Bahati nzuri mrembo huyo anajua […]

 

9 years ago

Bongo5

#TecnoOwnTheStage: Kechu wa Tanzania ayaaga mashindano (Video)

Sara-Jackson8

Shindano la Tecno Own The Stage jana Jumapili liliendelea katika episode yake ya tano. Shindano hilo lilishuhudia Mtanzania mwingine, Sarah Jackson aka Kechu akiyaaga mashindano baada ya kushindwa kuwashawishi majaji.

Sara-Jackson8
Kechu

Kechu alitumbuiza wimbo wa Vanessa Mdee, Nobody But Me lakini wakati anaanza alijikuta akiachwa na mashairi na kuudakia wimbo mbele. Hilo kwa mujibu wa jaji Yemi Alade lilikuwa ni kosa kubwa hasa kwakuwa mashindano hayo ni karaoke na hivyo kusoma mashairi ni jambo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani