Video: Kechu azungumzia alichojifunza kwenye #TecnoOwnTheStage
Kechu ni miongoni mwa washiriki wa Tanzania waliotoka kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria. Alipita kwenye studio za Bongo5 kutueleza alichojifunza huko na kipi kinafuata kwenye muziki wake.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Dec
#TecnoOwnTheStage: Kechu wa Tanzania ayaaga mashindano (Video)
![Sara-Jackson8](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Sara-Jackson8-300x194.jpg)
Shindano la Tecno Own The Stage jana Jumapili liliendelea katika episode yake ya tano. Shindano hilo lilishuhudia Mtanzania mwingine, Sarah Jackson aka Kechu akiyaaga mashindano baada ya kushindwa kuwashawishi majaji.
Kechu
Kechu alitumbuiza wimbo wa Vanessa Mdee, Nobody But Me lakini wakati anaanza alijikuta akiachwa na mashairi na kuudakia wimbo mbele. Hilo kwa mujibu wa jaji Yemi Alade lilikuwa ni kosa kubwa hasa kwakuwa mashindano hayo ni karaoke na hivyo kusoma mashairi ni jambo la...
9 years ago
Bongo526 Dec
Video: Uliona jinsi wabongo walivyowakilisha kwenye #TecnoOwnTheStage episode 6?
![12357424_142587802773346_839726629_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12357424_142587802773346_839726629_n-300x194.jpg)
Kuna watanzania wawili tu waliosalia kwenye kipindi cha Tecno Own The Stage, Nancy na Zooccu. Kwenye episode 6 Jeff aliyaaga mashindano. Tazama ilivyokuwa hapo chini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo520 Nov
Picha: Lil Ommy wa Times FM afanya ziara kwenye redio za Afrika Kusini, aeleza alichojifunza
![de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/de98d706-c2ab-4594-bc30-a595db645200-300x194.jpg)
Mtangazaji wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, Lil Ommy yupo jijini Johannesburg alikoenda kwenye ziara maalum kujifunza mambo yanayohusiana na redio.
Akiwa huko amezunguka kwenye vituo mbalimbali vya redio na TV vikiwemo vituo vya SABC. Amesema amejifunza mambo mengi kwenye redio na muziki.
“Jamaa wana promote zaidi muziki wao na lugha yao kwenye redio wanachanganya Zulu, wanapenda kujifunza Kiswahili, wanaichukulia kama lugha kubwa ya bara la Afrika ukiachana na Kiingereza kuwa...
9 years ago
Bongo501 Oct
Video: Rossie M aeleza alichojifunza baada ya kufanya kazi na Avril
9 years ago
Bongo508 Dec
Hanscana aeleza alichojifunza SA kuhusu video nyingi za wabongo kutochezwa MTV na Trace
![Hanscana na campos-5](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Hanscana-na-campos-5-300x194.jpg)
Baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wamewahi kutuma video zao kwenye vituo vya MTV na Trace huwa wanaamini kuwa vituo hivyo vinaupendeleo, kutokana na kucheza video za wasanii wachache tu wa Tanzania licha ya wengi kujaribu kutuma kazi zao.
Director wa video nchini Hanscana alienda Afrika Kusini hivi karibuni, na miongoni mwa mambo aliyoyafanya huko ni pamoja na kujifunza jinsi ya kufanya kazi kwa kiwango cha kimataifa, na kutafuta ‘password’ za mageti ya kupeleka kazi zake kwenye channel za...
9 years ago
Bongo506 Jan
Video: Tazama Episode 8 ya #TecnoOwnTheStage
![12346092_1646035942321370_1206370583_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/12346092_1646035942321370_1206370583_n-300x194.jpg)
Tazama episode ya nane ya show ya Tecno Own the Stage hapa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo521 Dec
#TecnoOwnTheStage: Jeff wa Tanzania atolewa (Video)
![Tecno](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Tecno-300x194.jpg)
Tanzania imeendelea kuwa vibonde kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria baada ya mshiriki wa tatu kuyaaga mashindano hayo.
Awamu hii ni Jeff ndiye aliyeyaaga mashindano hayo baada ya kushindwa kuwaridhisha majaji watatu wa shindano hilo.
Kenya bado ina washiriki wote watano walioingia. Tanzania na Nigeria zimebakiza washiriki wawili kila moja.
Hata hivyo mshiriki wa Tanzania, Nandy ndiye ameendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuwakosha watazamaji...
9 years ago
Bongo516 Dec
Video: Episode 5 ya #TecnoOwntheStage ni noma, icheck hapa
![12353195_176592696027845_397528666_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12353195_176592696027845_397528666_n-300x194.jpg)
Tunajua una mambo mengi na upo busy na mishe mishe za kutafuta mkwanja na hivyo unajikuta ukipishana na show hii kali kwenye TV yako. Usihofu, unaweza kuiangalia yote kwenye Youtube. Icheck hapo chini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo528 Dec
Video: #TECNOOwnTheStage episode ya Christmas yawaacha washiriki na mshtuko
![10](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10-300x194.png)
Sehemu ya saba ya kipindi cha shindano la kwanza karaoke barani Afrika, Tecno Own The Stage ilikuwa maalum kwaajili ya Christmas na ilirushwa Jumapili ya December 27.
Washiriki walitumbuiza nyimbo zenye theme ya Christmas. Watanzania wawili, Nandy na Zooccu waliosalia kwenye shindano hilo nao walijifunga kibwebwe.
Zooccu aliimba wimbo ‘White Christmas’ na kuwakuna majaji japo si kama ilivyokuwa kwa mshiriki wa Nigeria, Shaapera aliyeimba ‘We Three Kings of Orient are’ wa ’ Rev. John Henry...