Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: #TECNOOwnTheStage episode ya Christmas yawaacha washiriki na mshtuko

10

Sehemu ya saba ya kipindi cha shindano la kwanza karaoke barani Afrika, Tecno Own The Stage ilikuwa maalum kwaajili ya Christmas na ilirushwa Jumapili ya December 27.

Washiriki walitumbuiza nyimbo zenye theme ya Christmas. Watanzania wawili, Nandy na Zooccu waliosalia kwenye shindano hilo nao walijifunga kibwebwe.

Zooccu aliimba wimbo ‘White Christmas’ na kuwakuna majaji japo si kama ilivyokuwa kwa mshiriki wa Nigeria, Shaapera aliyeimba ‘We Three Kings of Orient are’ wa ’ Rev. John Henry...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama Episode 8 ya #TecnoOwnTheStage

12346092_1646035942321370_1206370583_n

Tazama episode ya nane ya show ya Tecno Own the Stage hapa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Episode 5 ya #TecnoOwntheStage ni noma, icheck hapa

12353195_176592696027845_397528666_n

Tunajua una mambo mengi na upo busy na mishe mishe za kutafuta mkwanja na hivyo unajikuta ukipishana na show hii kali kwenye TV yako. Usihofu, unaweza kuiangalia yote kwenye Youtube. Icheck hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Uliona jinsi wabongo walivyowakilisha kwenye #TecnoOwnTheStage episode 6?

12357424_142587802773346_839726629_n

Kuna watanzania wawili tu waliosalia kwenye kipindi cha Tecno Own The Stage, Nancy na Zooccu. Kwenye episode 6 Jeff aliyaaga mashindano. Tazama ilivyokuwa hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

#TecnoOwnTheStage: Jeff wa Tanzania atolewa (Video)

Tecno

Tanzania imeendelea kuwa vibonde kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria baada ya mshiriki wa tatu kuyaaga mashindano hayo.

Awamu hii ni Jeff ndiye aliyeyaaga mashindano hayo baada ya kushindwa kuwaridhisha majaji watatu wa shindano hilo.

Kenya bado ina washiriki wote watano walioingia. Tanzania na Nigeria zimebakiza washiriki wawili kila moja.

Hata hivyo mshiriki wa Tanzania, Nandy ndiye ameendelea kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kwa kuwakosha watazamaji...

 

9 years ago

Bongo5

#TecnoOwnTheStage: Kechu wa Tanzania ayaaga mashindano (Video)

Sara-Jackson8

Shindano la Tecno Own The Stage jana Jumapili liliendelea katika episode yake ya tano. Shindano hilo lilishuhudia Mtanzania mwingine, Sarah Jackson aka Kechu akiyaaga mashindano baada ya kushindwa kuwashawishi majaji.

Sara-Jackson8
Kechu

Kechu alitumbuiza wimbo wa Vanessa Mdee, Nobody But Me lakini wakati anaanza alijikuta akiachwa na mashairi na kuudakia wimbo mbele. Hilo kwa mujibu wa jaji Yemi Alade lilikuwa ni kosa kubwa hasa kwakuwa mashindano hayo ni karaoke na hivyo kusoma mashairi ni jambo la...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Kechu azungumzia alichojifunza kwenye #TecnoOwnTheStage

Sara-Jackson8

Kechu ni miongoni mwa washiriki wa Tanzania waliotoka kwenye shindano la Tecno Own The Stage linaloendelea nchini Nigeria. Alipita kwenye studio za Bongo5 kutueleza alichojifunza huko na kipi kinafuata kwenye muziki wake.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Fabolous — I Don’t F*ck With Christmas

Wakati karibu kila mtu anaisubiria sikukuu ya Chrismas, rapper Fabolous ameidiss kuwa hana mpango nayo. Muone hapa akijifurahisha na ‘Dissmas’.

 

9 years ago

MillardAyo

Iyanya anafunga mwaka kwa kukutakia kheri ya Christmas na hii video – ‘Come All Ye Faithful’!

Ikiwa zimebaki saa chache kusherekea sikukuu ya Christmas kwa mwaka huu wa 2015, staa wa muziki kutoka Nigeria, Iyanya ameungana na NdaniTV ya Nigeria kwa ajili ya kutoa live performance ya moja ya nyimbo maarufu za Christmas, ‘Come All Ye Faithful’. Hapa chini ni video ya live performance ya Iyanya ndani ya NdaniTV. Unataka kutumiwa […]

The post Iyanya anafunga mwaka kwa kukutakia kheri ya Christmas na hii video – ‘Come All Ye Faithful’! appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki na hii, Christmas ya Peru sio sherehe, ni kupigana ngumi mwanzo mwisho… (+Video)

Kila watu wana utamaduni wao, kama utamaduni wako ni kusherehekea kwa kukaa na familia yako nyumbani, basi kwingine sio hivyo… na kama umezoea kukutana na sherehe za marafiki na ndugu, basi Peru kuna sherehe za maadui !! Countdown ya siku kuelekea Christmas inazidi kujivuta, zimebaki kama siku tatu tu hivi kuifikia December 25 2015, siku […]

The post Cheki na hii, Christmas ya Peru sio sherehe, ni kupigana ngumi mwanzo mwisho… (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani