Maandamano mapya Baltimore Marekani
Kumetokea maandamano mapya nchini Marekani katika mji wa Baltimore kufuatia kifo cha kijana mweusi Freddie Gray aliyekufa kutokana na majeraha akiwa mikononi mwa polisi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMISA YA KUMBUKUMBU YA COL CLEMENT XAVIER MWIHAVA BALTIMORE, MARYLAND NCHINI MAREKANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8a9yLkKQTdtYSL7xX5-eR-yfdLEKLtOax01l7Pd6N9MS9p105NdfIE0ZYAxe0siqJEOITA*UhuB61rtTxcvREAp/JK0.jpg?width=650)
JK ATEMBELEWA NA JAJI MKUU WA TANZANIA NA UJUMBE WAKE WALIOFIKA KUMJULIA HALI BALTIMORE, MAREKANI
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman aliyemtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume. Rais Kikwete akiongea na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman.… ...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani
Wakati Donald Trump alipotoa onyo lake , pengine hakufikiria kwamba atalazimika kuishi na hali ngumu kama inayoendeelea nchini Marekani.
5 years ago
BBCSwahili04 Jun
Video feki zinazosambaa mtandaoni kuhusu maandamano Marekani
Maandamano yaliyotokea Marekani baada ya kifo cha George Floyd yamesababisha video za kupotosha na nadharia za uongo kusambaa duniani
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Maandamano Marekani: Je Trump anaweza kutuma majeshi kudhibiti vurugu?
Wakati maandamano yakishika kasi nchini Marekani, Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ametishia kutuma majeshi yake ili kutuliza ghasia.
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
George Floyd: Vifo 11 vilivyosababisha maandamano dhidi ya polisi Marekani
Kifo cha George Floyd, ambacho video zake zilisambaa zikionyesha polisi akimkaba shingoni mwake na baada ya muda mfupi akafariki. Raia weusi wako katika hatari ya kuuwawa mara tatu zaidi ya watu weupe, takwimu zinaeleza.
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
George Floyd: Maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi yafanyika Marekani
Maandamano makubwa ya amani yamefanyika kote nchini Marekani kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji unaotekelezwa na maafisa wa polisi ikiwa ni siku ya 12 ya maandamano
5 years ago
CCM Blog03 Jun
MAANDAMANO YA KULAANI UKATILI WA POLISI YA MAREKANI YAFANYIKA KENYA NA NIGERIA
![Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, Nigeria](https://media.parstoday.com/image/4bva2d3a4e55b71nz34_800C450.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Sababu ya maandamano kuwa na nguvu wakati huu nchini Marekani
Maelfu ya Wamarekani wamekuwa wakiandamana katika mitaa mingi nchini humo kupinga ubaguzi, kwa mara ya kwanza idadi ya watu imekuwa kubwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania