Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video feki zinazosambaa mtandaoni kuhusu maandamano Marekani

Maandamano yaliyotokea Marekani baada ya kifo cha George Floyd yamesababisha video za kupotosha na nadharia za uongo kusambaa duniani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Mh!! Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!

Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti  huku wote sura zao zikiwa hazionekani.

Moja kati ya akaunti  kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la  WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.

Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani

Wakati Donald Trump alipotoa onyo lake , pengine hakufikiria kwamba atalazimika kuishi na hali ngumu kama inayoendeelea nchini Marekani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Solomon Mugera: Hizi ndizo njia bora za kukabili habari feki mtandaoni

Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.

 

10 years ago

GPL

TAARIFA ZA WAFANYAKAZI WA SERIKALI YA MAREKANI ZAIBIWA MTANDAONI

Rais wa Marekani Barack Obama. Jengo la Ubalozi wa China nchini Marekani. Susan Collins, ambaye ni Mjumbe wa Seneta ya kiintelijensia nchini Marekani alisema, wahalifu waliotekeleza wizi huo wengi wao ni raia wa China.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano mapya Baltimore Marekani

Kumetokea maandamano mapya nchini Marekani katika mji wa Baltimore kufuatia kifo cha kijana mweusi Freddie Gray aliyekufa kutokana na majeraha akiwa mikononi mwa polisi.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

KANUSHO KUHUSU HABARI INAYOENEA MTANDAONI

SalaamZiko habari zimezushwa, kuenezwa na sasa zinakuzwa kuwa mgombea urais wa CHADEMA na chama kwa ujumla kimefungua shauri Mahakama za Kimataifa, kuhusu ubakwaji wa demokrasia na hujuma dhidi ya Watanzania uliofanyika kwenye Uchaguzi (uchafuzi?) Mkuu uliofanyika Oktoba 25.Itoshe tu kusema kuwa hadi kwa hatua ya sasa habari hizo si za kweli. Ni uzushi.Watawala, wanaotuhumiwa kupoka haki ya

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano kuhusu wasichana waliotekwa

Maandamano makubwa yamepangwa kufanyika leo nchini Nigeria kuishinikiza serikali kuwanusru wasichana waliotekwa nyara

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi yafanyika Marekani

Maandamano makubwa ya amani yamefanyika kote nchini Marekani kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji unaotekelezwa na maafisa wa polisi ikiwa ni siku ya 12 ya maandamano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani