Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA ZA WAFANYAKAZI WA SERIKALI YA MAREKANI ZAIBIWA MTANDAONI

Rais wa Marekani Barack Obama. Jengo la Ubalozi wa China nchini Marekani. Susan Collins, ambaye ni Mjumbe wa Seneta ya kiintelijensia nchini Marekani alisema, wahalifu waliotekeleza wizi huo wengi wao ni raia wa China.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Taarifa wafanyakazi Marekani zadakuliwa

Serikali ya marekani yakumbwa na udukuzi mtandao wa komputa ambapo taarifa za mamilioini ya wafanyakazi wa serikali zimedakuliwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Video feki zinazosambaa mtandaoni kuhusu maandamano Marekani

Maandamano yaliyotokea Marekani baada ya kifo cha George Floyd yamesababisha video za kupotosha na nadharia za uongo kusambaa duniani

 

10 years ago

GPL

AUNT EZEKIEL AKANUSHA TAARIFA ZA KUJIFUNGUA, ASEMA VIDEO YA MTANDAONI NI KIPANDE CHA FILAMU YAKE

Aunt Ezekiel. BAADA ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu nchini Aunt Ezekiel kujifungua, mwanahabari wetu ametia timu nyumbani kwa Aunt na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mrembo huyo bado yu mjamzito na taarifa za kujifungua si za kweli. Aunt akiwa na shosti wake Wema Sepetu. Mitandao mbalimbali ya kijamii imeripoti taarifa za Aunt kujifungua kuanzia jana huku mingine ikimpongeza na kuweka kipande cha video… ...

 

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YA JPM NI NOMA! UKIBEEP TU, WANAPIGA! DKT MPANGO ATINGA TRA SAMORA BAADA YA MWANANCHI KUTUPIA UJUMBE MTANDAONI

Kaimu Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Mpango (kushoto), akizungumza na walipa kodi hao kwenye tawi la TRA, barabara ya Samora jijini Dar es salam leo Desemba 8, 2015.  KUNA ule msemo wa watu wa mjini, "Uki-beep, napiga" na kweli leo hii Desemba 8, 2015 pale Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, barabara ya Samora katikati ya jiji la Dar es Salaam, mlipa kodi mmoja alitupia ujumbe kwenye mtandao wa kijamii akiomba wataalamu wa IT wa TRA, wafike haraka kwenye ofisi zao za TRA Barabara ya Samora kwani...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ALIELEZA BUNGE HATUA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KUKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA...AGUSIA UZUSHI MTANDAONI

Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa amelieleza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatua mbalimbali ambazo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt.John Magufuli ambazo inazichukua katika kukabiliana na virusi vya Corona ambavyo vinasababisha ugonjwa wa COVID-19.
Akizungumza mchana huu Bungeni Mjini Dodoma katika mkutano wa kumi na tisa, kikao cha pili cha bajeti ya mwaka 2019/2020 Waziri Mkuu Kasim Majaliwa ametaja hatua kadhaa ambazo zimechukuliwa hadi sasa kama...

 

9 years ago

StarTV

Wafanyakazi wa Serikali Shinyanga watahadharishwa

Wafanyakazi wa Serikali mkoani Shinyanga wametahadharishwa kuwa makini na utendaji wa Serikali ya awamu ya Tano kwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea.

Mkuu wa mkoa huo Ally Nassoro Rufunga ametoa tahadhari hiyo wakati akiongea na wafanyakazi na taasisi katika mji wa Kahama mkoani Shinyanga katika ziara yake ya kikazi.

Rufunga anawataazalisha wafanyakazi wa Serikali mkoani hapa kuacha kufanya kazi kwa mazoea kwa Serikali awamu ya tano.

Anasema lengo la Serikali ya Mh Magufuli ni kuwatumikia...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali kuwalipa wafanyakazi wa MPM

Baada ya vuta nikuvute ya miaka 10 kati ya Serikali na waliokuwa wafanyakazi wa Mufindi Paper Mills (MPM), kuhusu malipo ya fidia yao, hatimaye Serikali imekubali kulipa fedha hizo kiasi cha Sh3.7 bilioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani