Maandamano kuhusu wasichana waliotekwa
Maandamano makubwa yamepangwa kufanyika leo nchini Nigeria kuishinikiza serikali kuwanusru wasichana waliotekwa nyara
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 May
Boko H: Waonyesha wasichana waliotekwa
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu serikali itawaachilia huru wapiganaji wake.
11 years ago
GPL
BOKO HARAM WAONYESHA WASICHANA WALIOTEKWA
Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara. Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru. Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara. Kanda hiyo...
11 years ago
Michuzi12 May
Boko Haram Waonyesha wasichana waliotekwa

10 years ago
GPL
WASICHANA ZAIDI YA 200 WALIOTEKWA NIGERIA WAKUMBUKWA BAADA YA MWAKA 1
Wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram mwaka jana. MAADHIMISHO ya mwaka mmoja tangu wasichana zaidi ya 200 kutekwa na Kundi la Boko Haram huko Chibok, kaskazini mashariki mwa Nigeria yanafanyika leo Nigeria. Wananchi wakiandamana kutaka kurudishwa kwa wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram mwaka jana. Wasichana zaidi ya 200 walitekwa Aprili 14, mwaka jana na kuitikisa dunia huku baadhi ya mataifa kama Marekani...
11 years ago
BBCSwahili01 May
Nigeria yajitetea kuhusu waliotekwa
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Nigeria amesema serikali isilaumiwe kuwa haikufanya chochote kuwaokoa wasichana waliotekwa.
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Wasiwasi kuhusu wanafunzi waliotekwa Nigeria
Hali ya wasiwasi imetanda kuhusu zaidi ya wasichana 100 waliotekwa nyara na washukiwa wa kundi la wapiganaji la Boko Haram
11 years ago
BBCSwahili08 Jun
Boko Haram labadili nia kuhusu wasichana
Wasichana waliotekwa nyara nchini Nigeria wanazuiliwa nje ya taifa hilo katika kambi tatu tofauti asema kiongozi mmoja wa kidini
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Maandamano Haiti kuhusu wizi wa kura za urais
Hali katika mji mkuu wa Haiti ni tete baada ya wafuasi wa mgombea mmoja wa kiti cha urais kuzusha rabsha.
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Yaliyosemwa na watu kuhusu ubaguzi wa rangi wakati wa maandamano
Yaliyosemwa na watu mashuhuri kuhusu ubaguzi wa rangi wakati maandamano yakiendelea duniani
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania