Boko H: Waonyesha wasichana waliotekwa
Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu serikali itawaachilia huru wapiganaji wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKq5*t5eazyrGkS0aempqwruao9729FKCo4M6VSpcBMUiqfqQv4VY6XPnYd3cMIk*b4FTqLtw1VgvEPwSZ1A13p/140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg?width=600)
BOKO HARAM WAONYESHA WASICHANA WALIOTEKWA
Wasichana ambao kundi la Boko Haram liliwateka nyara. Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru. Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika kipindi cha wiki nne zilizopita tangu watekwe nyara. Kanda hiyo...
11 years ago
Michuzi12 May
Boko Haram Waonyesha wasichana waliotekwa
![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/12/140512101658_nigeria_boko_haram_abducted_girls_512x288_getty_nocredit.jpg)
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Maandamano kuhusu wasichana waliotekwa
Maandamano makubwa yamepangwa kufanyika leo nchini Nigeria kuishinikiza serikali kuwanusru wasichana waliotekwa nyara
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1ZIry232fAJF8Pp0Vjf-H-7C3acWJ3QWbVniK3BBPYc-krN7aikmPQIwQIFn9hDhZWfJiPPxT*LN0a*gPxnPcjp/wasichana.jpg)
WASICHANA ZAIDI YA 200 WALIOTEKWA NIGERIA WAKUMBUKWA BAADA YA MWAKA 1
Wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram mwaka jana. MAADHIMISHO ya mwaka mmoja tangu wasichana zaidi ya 200 kutekwa na Kundi la Boko Haram huko Chibok, kaskazini mashariki mwa Nigeria yanafanyika leo Nigeria. Wananchi wakiandamana kutaka kurudishwa kwa wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram mwaka jana. Wasichana zaidi ya 200 walitekwa Aprili 14, mwaka jana na kuitikisa dunia huku baadhi ya mataifa kama Marekani...
5 years ago
CCM Blog30 May
WATU 241 WALIOTEKWA NYARA NA BOKO HARAM NIGERIA WANUSURIWA
![Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa](https://media.parstoday.com/image/4bpo1a9aff342814gk1_800C450.jpg)
11 years ago
BBCSwahili07 Jul
Wasichana 60 wakwepa Boko Haram
Vyombo vya usalama Nigeria vimesema kuwa wasichana 60 wamejikomboa na kukimbia kambi ya Boko Haram walikozuiliwa kwa nguvu
11 years ago
BBCSwahili05 May
Boko Haram wakiri kuteka wasichana
Kundi Boko Haram linasema kuwa ndilo lililowateka nyara wasichana 200 ambao hawajulikani waliko kwa wiki tatu sasa.
11 years ago
BBCSwahili19 Apr
Wasichana 14 zaidi watoroka Boko Haram
Kamishna wa elimu katika jimbo la Borno, Nigeria asema wasichana 14 zaidi wamefanikiwa kutoroka katika mikono ya Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Boko Haram lawaoza wasichana wa Chibok
Kundi la wanamgambo wa Boko Haram nchini Nigeria limekana madai kutoka kwa serikali ya Nigeria kuwa wameafikia makubaliano.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania