Sababu ya maandamano kuwa na nguvu wakati huu nchini Marekani
Maelfu ya Wamarekani wamekuwa wakiandamana katika mitaa mingi nchini humo kupinga ubaguzi, kwa mara ya kwanza idadi ya watu imekuwa kubwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog31 May
MAANDAMANO YA KUPINGA UBAGUZI WA RANGI NCHINI MAREKANI, SABABU NA HATARI ZAKE
![Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani, sababu na hatari zake](https://media.parstoday.com/image/4bv93bd9a04d931nvue_800C450.jpg)
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
George Floyd: Sababu 4 zilizofanya kifo cha M'marekani mweusi kusababisha maandamano makubwa Marekani
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Drogba akanusha madai ya kujiunga na Chelsea wakati huu ambao ligi ya Marekani MLS imemalizika!
Drobga
Na Rabi Hume wa Modewjiblog na Mashirika ya Habari.
Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba (37) anayekipiga kwa sasa katika kblabu ya Montreal Impact inayoshriki ligi kuu ya Marekani MLS amekanusha uvumi uliokuwa umeanza kusambaa kuwa mchezaji huyo atajiunga na klabu yake ya Chelsea kwa mkataba wa muda mfupi wakati huu ambao ligi kuu ya Marekani imesimama.
Akizungumza na Kituo cha Habari cha Ufaransa (AFP), Drogba amesema taarifa hizo siyo sahihi kuwa atajiunga kwa muda...
9 years ago
Michuzi10 Dec
Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Marekani (ZADIA) yaandaa maandamano jijini new york
![](https://scontent-iad3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12341184_10156253055685247_3836503281131219805_n.jpg?oh=132135cd9c47ef24a4e38b11130f59ba&oe=56D86FFA)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMP-nnGcje5up3EJRYC060ERacqUVIKtPdv8*3FVoL0xa6j*lOWIWwB-8MvKz7J3Ozrl9EuoN-7KEAdPyyapsltO/explosion1.jpg?width=650)
ROKETI YALIPUKA WAKATI WA KUPAA NCHINI MAREKANI
11 years ago
GPLDIAMOND AGONGA SHOO YA NGUVU, AWEKA HISTORIA NEW JERSEY NCHINI MAREKANI
11 years ago
MichuziDIAMOND PLATNUMZ AFANYA MAKAMUZI YA NGUVU KANSAS CITY, MISSOURI NCHINI MAREKANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OPmAKd4u6jA/XvEQV4IhiJI/AAAAAAAC9OA/FCzusmUbFM0DSeRcF9A8QaEE9udWgPFwQCLcBGAsYHQ/s72-c/sabapic.jpg)
UNESCO imeonyesha kuwa asilimia 40 ya nchi maskini zaidi haziwasaidii wanafunzi walio katika hatari wakati huu wa janga la COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-OPmAKd4u6jA/XvEQV4IhiJI/AAAAAAAC9OA/FCzusmUbFM0DSeRcF9A8QaEE9udWgPFwQCLcBGAsYHQ/s640/sabapic.jpg)
Ripoti hii inatoa uchanganuzi wa kina kuhusu vipengele msingi vya utengaji wa wanafunzi katika mifumo ya elimu ulimwenguni vikiwemo mahali walimotoka, utambulisho na uwezo (yaani, jinsia, umri, mahali walimotoka, umaskini, ulemavu, kabila, asili, lugha, dini, hali ya...