Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Drogba akanusha madai ya kujiunga na Chelsea wakati huu ambao ligi ya Marekani MLS imemalizika!

drog_1547796a Drobga

Na Rabi Hume wa Modewjiblog na Mashirika ya Habari.

Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba (37) anayekipiga kwa sasa katika kblabu ya Montreal Impact inayoshriki ligi kuu ya Marekani MLS amekanusha uvumi uliokuwa umeanza kusambaa kuwa mchezaji huyo atajiunga na klabu yake ya Chelsea kwa mkataba wa muda mfupi wakati huu ambao ligi kuu ya Marekani imesimama.

Akizungumza na Kituo cha Habari cha Ufaransa (AFP), Drogba amesema taarifa hizo siyo sahihi kuwa atajiunga kwa muda...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Osama:Mwandishi akanusha madai ya Marekani

Mwaandishi mmoja amekanusha madai ya utawala wa Rais Obama kuhusiana na kuuawa Osama Bin Laden

 

10 years ago

BBC

Drogba joins MLS side Montreal

Ivorian striker Didier Drogba signs for Major League Soccer side Montreal Impact after leaving Chelsea this summer.

 

10 years ago

Mwananchi

MTAZAMO: Ligi imemalizika, misingi ya soka bado ni tatizo

>Nimekuwa shuhuda wa muda mrefu wa mechi za Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara kwenye viwanja mbalimbali nchini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Sababu ya maandamano kuwa na nguvu wakati huu nchini Marekani

Maelfu ya Wamarekani wamekuwa wakiandamana katika mitaa mingi nchini humo kupinga ubaguzi, kwa mara ya kwanza idadi ya watu imekuwa kubwa.

 

11 years ago

GPL

JOHARI AKANUSHA MADAI YA KUBATIZWA

MKONGWE wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amedaiwa kubatizwa juzikati katika Kanisa Katoliki Nyalikungu wilayani Maswa, Simiyu lakini mwenyewe amekanusha. Mkongwe wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Chanzo makini kilichodai kushuhudia ubatizo, kilieleza kuwa Johari alifika Jumapili kanisani hapo na watu kuhoji kwa nini achelewe kubatizwa? Alipotafutwa na mwanahabari wetu, Johari...

 

9 years ago

BBCSwahili

Lamorde akanusha madai ya ufisadi

Mkurugenzi mkuu wa shirika la kupambana na ufisadi nchini Nigeria akanusha madai kuwa zaidi ya $5bn zimetoweka kutoka shirika hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

Drogba kuondoka Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea Didier Drogba anaihama klabu hiyo kwa mara ya pili.

 

11 years ago

BBC

Striker Drogba re-signs for Chelsea

Chelsea re-sign veteran striker Didier Drogba on a one-year deal after the Ivorian left Galatasaray.

 

10 years ago

BBC

Drogba exits Chelsea for second time

Ivory Coast's Didier Drogba leaves Chelsea for the second time and says he has one more season before retirement.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani