Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIKI NDICHO KILICHOTOKEA HUKO BALTIMORE KUTOKANA NA MTITI WA FURUGU ZA RAIA NA POLISI


Uwanja wa Baltimore Orioles ulikuwa mweupe bila watu kutokana na ghasia za raia na polisi watu wote wameogopa kutoka nje na kwenda kushuhudia mchezo kati ya timu ya Baltimore Orioles na Chicago White Sox. Machafuko hayo yaliyosababishwa na tukio la kifo cha kijana mmoja aliekufa mikono mwa polisi hapo ndipo mtiti ulianza baada ya vijana hadi wazee kuingia mtaani na kuanza kuandamana sambamba na uharibifu wa mali za watu na magari kuchomwa moto.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hiki ndicho kinachomstahili Warioba?

MWAKA 2012, Tume ya Rais ya Mabadiliko ya Katiba iliundwa chini ya uongozi wa Jaji mstaafu Joseph Warioba. Juni 4, 2013 rasimu ya kwanza ikatoka, na wananchi kupitia makundi mbalimbali...

 

9 years ago

Mwananchi

Hiki ndicho tunasubiri katika michezo

Kipindi ambacho sekta ya michezo ilikuwa inahitaji fedha kwa ajili ya kusomesha watalaamu na kugharimia maendeleo yake, Serikali iliwakatisha tamaa wadau wa michezo ilipopitisha uamuzi wa kusikitisha.

 

10 years ago

Vijimambo

HIKI NDICHO KIRUSI KINACHOITAFUNA SIMBA

Simba ni klabu kubwa sana katika historia ya soka nchini na Afrika Mashariki na Kati kiujumla. Hii haina ubishi kutokana na mafamikio yake katika soka miaka ya nyuma hadi ikafikia hatua ya kupachikwa jina la “TAIFA KUBWA”.
Simba ilikuwa tishio lakini kwa miaka ya hivi karibuni imegeuka na inaandamwa na matokeo mabovu.Mwaka 2011-2012 Simba iliambulia nafasi ya 3 katika ligi ikiwa nyuma ya Yanga na Azam, msimu wa mwaka 2013-2014 ilishika nafasi ya 4 nyuma ya Azam, Yanga na Mbeya City iliyoingia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi hiki ndicho mlichokifuata chuoni?

“AONYWAYE mara nyingi akishupaza shingo itavunjika.” Huu ni msemo wa Kiswahili ambao hutumika kwa maonyo katika jamii inayotuzunguka. Msemo huu ni mfupi sana kwa maneno, lakini ni mpana kwa maana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hiki ndicho kinacho mstahili Warioba?-2

KUPITIA gazeti  hili toleo namba 3414 la tarehe 9 Aprili, 2014, niliandika makala yenye kichwa cha habari “hiki ndicho kinachomstahili Warioba”?  Maudhui yake yalijikita katika kuonesha utovu wa nidhamu wa...

 

9 years ago

Bongo5

Hiki ndicho Daz Baba anachojivunia

Rapper Daz Baba amesema anachojivunia katika muziki wake mpaka sasa ni kiwanja pamoja na muziki wake kuwa mfano kwa wengine. Daz ameiambia Bongo5 leo kuwa haangalii anaingiza pesa kiasi gani ila anaangalia mchango wake kwenye muziki. “Mafanikio yangu kwenye muziki ni kuwa na identity yangu. Muziki wangu umekuwa na mchango sana kwenye muziki huu. Kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani