Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Morsi alimbikiziwa mashtaka zaidi

Rais wa zamani wa Misri, Moh'd Morsi, atakiwa kukabili mashtaka zaidi ya yale aliyonayo hivi sasa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MORSI JELA MIAKA 20

  Aliyekuwa Rais wa Misri, Mohammed Mosri amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani kwa kuwachochoea wafuasi wa kundi la Muslim Brotherhood kuwaua waandamanaji wa upinzani alipokuwa madarakani mwaka 2012.

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA MORSI LEO

Mohammed Morsi. MAHAKAMA nchini Misri inatarajia kutoa hukumu kwenye kesi kadhaa zinazomkabili rais wa zamani, Mohammed Morsi ambaye aliondolewa madarakani na jeshi mwaka 2013. Mosri anakabiliwa na kesi pamoja na viongozi wengine wa Kundi la Muslim Brotherhood kwa kuwachochea wafuasi kumuua mwandishi wa habari na waandamanaji wa upinzani wakati wa makabiliano nje ya ikulu ya rais mwaka 2012. Mawakili wanaomtetea Mosri wanasema...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Morsi akamatwa

Mtoto wa kiume wa mwisho wa Morsi akamatwa akishukiwa kuwa na bangi

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Morsi kuendelea Misri

Vikosi vya usalama vimeimarisha ulinzi katika mji mkuu wa Misri, Cairo , kabla ya kufikishwa mahakamani kwa rais aliyeng'olewa madarakani , Mohammed Morsi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Morsi kufika mahakamani Misri

Mohammed Morsi anashatakiwa kwa kosa la mauaji na kuchochea mauaji ya waandamanaji waliopinga uongozi wake.

 

10 years ago

BBC

Egypt's Morsi jailed for 20 years

Egypt's former President Mohammed Morsi gets a 20 year jail sentence over the killing of protesters in 2012, the first verdict in several trials he is facing.

 

11 years ago

BBC

Morsi 'leaked secrets to Iran'

Egyptian prosecutors have accused ousted President Mohammed Morsi of leaking state secrets to Iran's Revolutionary Guards.

 

10 years ago

BBCSwahili

Morsi ahukumiwa miaka 20 gerezani

Habari za hivi punde zinasema kuwa aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Mosri amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani