Mahakama yampunguzia Ponda mashtaka
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, jana ilimfutia shtaka moja kati ya matatu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIm9DK4T7mlAYSMXrZGOSpI4KcG-ZHxcNDKrzBCbQL3tPW*f9eAsb0G3rdPHezGeYFKaKnGJ7bdsLEV2FMtEYt1U/SUAREZ.jpg?width=650)
MAHAKAMA YAMPUNGUZIA ADHABU SUAREZ
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ushahidi upande wa mashtaka kesi ya Ponda wafungwa
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Mahakama yawabadilishia mashtaka watuhumiwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TI4EUdeNYJ8/XvHnIzesV7I/AAAAAAALvD4/XPB6L_6sOXIbSulAmbQSOXCfatbC4WUEwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B2.18.12%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MAHAKAMA YAMFUTIA MASHTAKA MFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TI4EUdeNYJ8/XvHnIzesV7I/AAAAAAALvD4/XPB6L_6sOXIbSulAmbQSOXCfatbC4WUEwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B2.18.12%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia mashtaka Mfanyabiashara Mussa Mohamed aliyefikishwa mahakamani hapo leo Juni 23, 2020 akikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wakili wa Serikali, Sylvia Mitanto kudai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Yusto Ruboroga kuwa upande wa mashtaka hauna nia ya kuendelea kumshitaki Mohamed kwa kosa hilo.
Aliomba...
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Sheikh Ponda aiangukia mahakama
![Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Ponda-Issa-Ponda.jpg)
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameiangukia Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa kuiomba itumie busara kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili mkoani Morogoro.
Maombi hayo yaliyokwama mara kadhaa kutokana na sababu za kisheria, yaliwasilishwa jana kupitia wakili wake, Juma Nassoro, wakati rufaa yake ya kupinga hukumu ya Mahakama ya Hakimu...
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Mahakama yamuachia huru Sheikh Ponda
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Mahakama yamtakasa Sheikh Issa Ponda
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Sheikh Ponda akwama Mahakama Kuu
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BREAKING-NEWS1.gif)
MAHAKAMA MORO YAAHIRISHA HUKUMU YA SHEIKH PONDA