Mahakama yawabadilishia mashtaka watuhumiwa
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), amewabadilishia mashtaka, washtakiwa katika kesi ya jengo lililoporomoka Mtaa wa Indira Gandhi, jijini Dar es Salaam kutoka mashtaka ya kuua bila kukusudia na kuwa mashtaka ya kuua kwa makusudi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Mahakama yampunguzia Ponda mashtaka
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, jana ilimfutia shtaka moja kati ya matatu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda.
5 years ago
Michuzi
MAHAKAMA YAMFUTIA MASHTAKA MFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia mashtaka Mfanyabiashara Mussa Mohamed aliyefikishwa mahakamani hapo leo Juni 23, 2020 akikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wakili wa Serikali, Sylvia Mitanto kudai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Yusto Ruboroga kuwa upande wa mashtaka hauna nia ya kuendelea kumshitaki Mohamed kwa kosa hilo.
Aliomba...
5 years ago
Michuzi
MAHAKAMA YAAMURU UPANDE WA MASHTAKA KUKAMILISHA UPESI UPELELEZI KESI YA UHUJUMU UCHUMI YA TITO MAGOTI NA MWENZAKE
Na Karama Kenyunko- Michuzi Tv.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeuamuru upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi haraka wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti (26) na mwenzake, ili shauri hilo liweze kuendelea katika hatua nyingine.
Katika kesi hiyo, Magoti, anashtakiwa pamoja na mtaalamu wa masuala ya Tehama, Theodory Gyan (36), ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya kutakatisha fedha ambazo ni...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeuamuru upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi haraka wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti (26) na mwenzake, ili shauri hilo liweze kuendelea katika hatua nyingine.
Katika kesi hiyo, Magoti, anashtakiwa pamoja na mtaalamu wa masuala ya Tehama, Theodory Gyan (36), ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya kutakatisha fedha ambazo ni...
10 years ago
Michuzi
MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU(AfCHPR) YASIKILIZA KESI YA WATUHUMIWA 10 WA UJAMBAZI MOSHI


9 years ago
Michuzi
MAHAKAMA KUU YATOA DHAMANA KWA WATUHUMIWA WATATU WA UHUJUMU UCHUMI WA TRA


Mshitakiwa namba moja katika kesi ya kuhujumu uchumi, aliyekuwa naibu Kamishna wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), Tiagi Masamaki (Kulia) akiwa na wenzake aliyekuwa Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Habibu Mponezya na Bulton Mponezya wakiwa katika Mahakama Kuu Tanzania jijini Dar es Salaam leo wakisomewa shtaka linalowakikabili la makosa ya jinai na uhujumu uchumi.

5 years ago
Michuzi
MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO
Na Innocent Kansha- Mahakama Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam jana ilitoa hukumu tatu kwa njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama “Video Conference” kwa kushirikiana na Magereza ya Keko na Segerea Jijini Dar es salaam, huku ikiahirisha mashauri mawili. Mashauri matano ya mauaji yalisikilizwa mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam, Mhe. Lameck Mlacha kwa kutumika njia hiyo. Kati ya mashauri hayo matatu yalisikilizwa na kutolewa hukumu, kwa...
5 years ago
Michuzi
MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA AKIKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA JUMUISHI



5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Felicien Kabuga: Mahakama ya Ufaransa imeamuru mfanyabiashara huyo wa Rwanda ashtakiwe katika mahakama ya UN
Mahakama nchini Ufaransa imeagiza Félicien Kabuga ambaye anatuhumiwa kuhusika na mauaji ya kimbari ya Rwanda kufikishwa mbele ya mahakama maalum ya Umoja wa mataifa iliopo Tanzania.
10 years ago
Michuzi
JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania