Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yawabadilishia mashtaka watuhumiwa

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), amewabadilishia mashtaka, washtakiwa katika kesi ya jengo lililoporomoka Mtaa wa Indira Gandhi, jijini Dar es Salaam kutoka mashtaka ya kuua bila kukusudia na kuwa mashtaka ya kuua kwa makusudi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yampunguzia Ponda mashtaka

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, jana ilimfutia shtaka moja kati ya matatu Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda.

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAMFUTIA MASHTAKA MFANYABIASHARA WA DAWA ZA KULEVYA

 Mfanyabiashara Mussa Mohamed akiingia katika mahaka ya hakimu Mkazi jijini Dar es Salaam leo.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia mashtaka Mfanyabiashara Mussa Mohamed aliyefikishwa mahakamani hapo leo Juni 23, 2020  akikabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
Hatua hiyo imekuja baada ya Wakili wa Serikali, Sylvia Mitanto kudai mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Yusto Ruboroga kuwa upande wa mashtaka hauna nia ya kuendelea kumshitaki Mohamed kwa kosa hilo.
Aliomba...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAAMURU UPANDE WA MASHTAKA KUKAMILISHA UPESI UPELELEZI KESI YA UHUJUMU UCHUMI YA TITO MAGOTI NA MWENZAKE

Na Karama Kenyunko- Michuzi Tv.

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeuamuru upande wa mashtaka kukamilisha upelelezi haraka wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti (26) na mwenzake, ili shauri hilo liweze kuendelea katika hatua nyingine.

Katika kesi hiyo, Magoti, anashtakiwa pamoja na mtaalamu wa masuala ya Tehama, Theodory Gyan (36), ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya kutakatisha fedha ambazo ni...

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU(AfCHPR) YASIKILIZA KESI YA WATUHUMIWA 10 WA UJAMBAZI MOSHI

Majaji wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR) wakiingia Mahakamani kusikiliza kesi ujambazi iliyofunguliwa dhidi ya watuhumiwa 10 raia wa Kenya walioufanya mwaka 2006 mkoani Kilimanjaro. Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (AfCHPR), Jaji Augustino Ramadhani akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Arusha na kutoa wito kwa nchi zaidi kutoa tamko kwa Mahakama hiyo ili wananchi na asasi za kiraia kuitumia Mahakama hiyo, nchi saba pekee ikiwemo Tanzania...

 

9 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU YATOA DHAMANA KWA WATUHUMIWA WATATU WA UHUJUMU UCHUMI WA TRA


Mshitakiwa namba moja katika kesi ya kuhujumu uchumi, aliyekuwa naibu Kamishna wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), Tiagi Masamaki (Kulia) akiwa na wenzake aliyekuwa Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Habibu Mponezya na Bulton Mponezya wakiwa katika Mahakama Kuu Tanzania jijini Dar es Salaam leo wakisomewa shtaka linalowakikabili  la makosa ya jinai na uhujumu uchumi.
Watuhumiwa watatu wa uhujumu uchumi wakisindikizwa na Polisi wakitoka mahama kuu ya Tanzania jijini Dar es Salaam leo...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA KUU KANDA DARESALAAM YATOA HUKUMU KWA MAHAKAMA MTANDAO

Na Innocent Kansha- Mahakama  Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam jana ilitoa hukumu tatu kwa  njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama “Video Conference” kwa kushirikiana na Magereza ya Keko na Segerea Jijini Dar es salaam, huku ikiahirisha mashauri mawili. Mashauri matano ya mauaji yalisikilizwa mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam, Mhe. Lameck Mlacha kwa kutumika njia hiyo. Kati ya mashauri hayo matatu yalisikilizwa na kutolewa hukumu,  kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA AKIKAGUA UJENZI WA MAHAKAMA JUMUISHI

 Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Mathias Kabunduguru ( aliyenyoosha mkono) akikagua  leo ujenzi wa  jengo la Mahakama Jumuishi  la Utoaji Haki (IJC) lililopo eneo la Kihonda Wilaya ya Morogoro. Jengo hilo linajumuisha Mahakama Kuu,  Mahakama ya Hakimu Mkazi na Mahakama ya Wilaya zikiwemo ofisi za wadau wote wa Mahakama. Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Mathias Kabunduguru (wa pili kulia) akizungumza leo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Loatha Sanare kuhusu ziara ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Felicien Kabuga: Mahakama ya Ufaransa imeamuru mfanyabiashara huyo wa Rwanda ashtakiwe katika mahakama ya UN

Mahakama nchini Ufaransa imeagiza Félicien Kabuga ambaye anatuhumiwa kuhusika na mauaji ya kimbari ya Rwanda kufikishwa mbele ya mahakama maalum ya Umoja wa mataifa iliopo Tanzania.

 

10 years ago

Michuzi

JK aapisha jaji mmoja wa mahakama ya rufani na 13 wa mahakama kuu Ikulu jijini Dar es salaam

Rais Jakaya Mrisho kikwete akiwa na Waziri wa Sheria na Katiba Dkt Asha-Rose Migiro, Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman, Jaji Kiongozi Mhe Shaaban Ally Lilla na Katibu Mkuu kiongozi katika picha ya pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu 13 na Jaji wa Mahakama ya Rufaa mmoja aliowaapisha Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 5, 2015.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani