Mahakama yamuachia huru Sheikh Ponda
Mahakama ya Hakimu mkazi mkoa wa Morogoro imemwachia huru kiongozi wa Taasisi na Jumuiya za Kiislam nchini Sheikh Ponda Issa Ponda baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka yaliyofunguliwa mahakamani hapo dhidi yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAHAKAMA KUU YAMUACHIA HURU SHEIKH PONDA LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VN148-PbKqM/XlPuL3yVwcI/AAAAAAALfI4/eMrRx2tZUoklH0d0r6VLOaJx2bVM-pM9wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.43.12%2BPM.jpeg)
MWANDISHI ERICK KABENDERA AHUKUMIWA KULIPA SHILINGI MILIONI 273, MAHAKAMA YAMUACHIA HURU
![](https://1.bp.blogspot.com/-VN148-PbKqM/XlPuL3yVwcI/AAAAAAALfI4/eMrRx2tZUoklH0d0r6VLOaJx2bVM-pM9wCLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.43.12%2BPM.jpeg)
MWANDISHI maarufu wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera amehukumiwa kulipa faini na Fidia ya jumla ya sh. Milioni 273 baada ya kukiri makosa ya utakatishaji fedha na kukwepa kodi.
Aidha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Kabendera kulipa faini ya sh.250,000 ama kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela baada ya kukiri kosa la kukwepa kodi huku pia akifutiwa kosa la kuongoza genge la uhalifu.
Hata hivyo mshtakiwa Kabendera ameishalipa Sh. Milioni 100 na...
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Sheikh Ponda aiangukia mahakama
![Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Ponda-Issa-Ponda.jpg)
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameiangukia Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa kuiomba itumie busara kusimamisha kesi ya uchochezi inayomkabili mkoani Morogoro.
Maombi hayo yaliyokwama mara kadhaa kutokana na sababu za kisheria, yaliwasilishwa jana kupitia wakili wake, Juma Nassoro, wakati rufaa yake ya kupinga hukumu ya Mahakama ya Hakimu...
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Mahakama yamtakasa Sheikh Issa Ponda
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Sheikh Ponda akwama Mahakama Kuu
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Mahakama Kuu yatupa ombi la Sheikh Ponda
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali ombi la Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda la kufanya mapitio ya uamuzi wa Mahakama ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BREAKING-NEWS1.gif)
MAHAKAMA MORO YAAHIRISHA HUKUMU YA SHEIKH PONDA
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-vuWvRF7EB9I/VlwNvjRZ2wI/AAAAAAAA1VE/UoCiSIA4-1c/s72-c/IMG_20151130_114441.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cslv_PWmcrE/UyhmijxUFhI/AAAAAAAFUjk/ZUp12fONrl0/s72-c/download+(1).jpg)
mahakama kuu yafuta tena maombi ya sheikh ponda kuodolewa shitaka la kukaidi amri halali
![](http://3.bp.blogspot.com/-cslv_PWmcrE/UyhmijxUFhI/AAAAAAAFUjk/ZUp12fONrl0/s1600/download+(1).jpg)