Mmiliki jengo lililoanguka Dar abadilishiwa mashitaka
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, amemfutia kesi ya kuua bila kukusudia inayomkabili mmiliki wa jengo lililoanguka katika Mtaa wa Indra Gandhi mwenye asili ya Kiasia, Raza Hussein Raza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s72-c/shangani%2Bpix.jpg)
MAALIM SEIF ATEMBELEA ENEO LA JENGO LILILOANGUKA JANA MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-yCqf3WZJQiE/VG2RnLa9a_I/AAAAAAABcU4/n7_RbUjlZhk/s1600/shangani%2Bpix.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0aPElGNNJXY/VG2RtgWSPeI/AAAAAAABcVA/PxtUqu9_G58/s1600/shangani.jpg)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amezitaka Mamlaka zinazosimamia majengo katika enelo la Mji Mkongwe Zanzibar kuwa na utaratibu mzuri wa kuyakagua ili kuhakikisha uimara wake na kuepusha maafa kwa watumiaji na jamii nzima.
Maalim...
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Mtuhumiwa wa Escrow abadilishiwa mashtaka
10 years ago
Habarileo12 Feb
Mwanasheria wa Tanesco abadilishiwa kesi Escrow
MWANASHERIA Mwandamizi wa Tanesco, Steven Urassa amefutiwa mashitaka ya kupokea sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kusomewa mashitaka ya kupokea rushwa ya Sh milioni 161.7.
10 years ago
Habarileo27 Sep
Anayedaiwa kuingiza makomando abadilishiwa mashtaka
WATU wanne akiwemo mfanyabiashara Ally Ally (25) aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kusafirisha na kuhifadhi makomando wa Nepal nchini, wamepandishwa kizimbani wakikabiliwa na mashitaka ya usafirishaji wa binadamu uliokithiri.
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Wapangaji jengo la Treni Mji Mkongwe watakiwa kuhama jengo hilo
Na Abdulla Ali, Maelezo-Zanzibar
Serikali haitoridhia kuwabakisha Wapangaji na Wafanyabiashara katika jengo la Treni ili kuepusha maafa na kuokoa maisha ya Wananchi na mali zao.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar Mhe. Ramadhan Abdulla Shaaban wakati wa mkutano wa mzungumzo ya pamoja kati ya Wapangaji na Wafanyabiashara wanaolitumia jengo hilo na Serikali uliofanyika katika ofisi ya Mamlaka ya Mji Mkongwe iliopo...
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Jengo la CCM Dar lachefua wapangaji
10 years ago
MichuziJENGO LA GHOROFA 16 KUBOMOLEWA JIJINI DAR.
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es SalaamUwepo wa jingo hilo ambalo limejengwa chini ya kiwango limezua hofu kubwa kwa wakazi wa eneo hilo,kwani jingo hilo lipo karibu na jingo jingine lililokuwa na ghorofa 16 ambalo lilianguka...
11 years ago
Habarileo29 May
Bunge: Jengo la ghorofa 16 Dar livunjwe
BUNGE limesisitiza kuwa jengo la ghorofa 16 lililoko katika Mtaa wa Indira Gandhi, Dar es Salaam ambalo liliagiza mwaka jana livunjwe, agizo hilo litekelezwe.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxldKMDeHAFj0Bua3eCVal51fDcoWjyJkKUIaW4JwS*JIPxwQsOxUkgicKDGCBiByLq9r6Y4caozTTq3H0-De2cp/12036945_1054195471265784_901197484293267345_n.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA KISASA JIJINI DAR