Mwanamke aliyeasi uisilamu akamatwa tena
Taarifa kutoka nchini Sudan zinasema kuwa mwanamke aliyeachiliwa hapo jana kwa kosa la kuasi dini amekamatwa tena.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM25 Jun
Mwanamke aliyeasi dini akamatwa tena
Taarifa kutoka nchini Sudan zinasema kuwa mwanamke aliyeachiliwa hapo jana kwa kosa la kuasi dini amekamatwa tena.
Mwanamke huyo Meriam Ibrahim, alikuwa amehukumiwa kifo kwa kosa la kuolewa na mwanamume mkristo na kukana dini ya kiisilamu alikamatwa akiwa na familia yake katika uwanja wa ndege mjini Khartoum.
Watu waliomkata walikuwa wamevalia mavazi ya kiraia ingawa wanaaminika kuwa wanajeshi wa serikali.
Duru zinasema kuwa Meriam Ibrahim aliyejifungulia jela alikuwa anajiandaa kuondoka...
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Mwanamke aliyeasi dini achiliwa tena
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8R-KigMAM7C53u-3bP9sulWSSvmr5YnrE9ucnBYA1EJxv3-RV633i3OtbnpebY-MCORcxKYzn8u5*m2xk9B*Wyv/meriam.jpg)
MWANAMKE ALIYEHUKUMIWA KIFO AKAMATWA TENA
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Mwanamke aliyeasi dini 'ameghushi' hati
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Mwanamke 'aliyeasi dini' awasili Marekani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfA7sHKld8Fcrr2r5Tcct2RcmVmhXeD6kZrb4WxaD4w8A-1nECc7rHZqGyz8lWgKF*5D*sHwWSPFT3vCvJuliNGI/MeriamYahiaIbrahimIshag.jpg?width=650)
MWANAMKE ALIYEASI UISLAMU ASAFIRISHWA KWENDA ITALIA
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Kamanda mwanamke muasi akamatwa
10 years ago
Habarileo18 Jul
Aachiwa huru, akamatwa tena
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemuachia huru, Samwel Meshack baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuleta mashahidi kuthibitisha tuhuma za wizi zilizokuwa zikimkabili.
10 years ago
Habarileo25 Jun
‘Papa Msofe’ afutiwa kesi, akamatwa tena
MFANYABIASHARA maarufu Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake, Makongoro Joseph, wamefutiwa kesi ya mauaji iliyokuwa inawakabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.