Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yaharibu Kilo 370 ya Heroine

Serikali ya Kenya imeharibu kilo370 ya heroine iliyonaswa katika meli moja mwezi uliopita.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu Heroine iliyonaswa Kenya

Kenya imelalamika kuwa haikupewa taarifa zozote kuhusu dawa za kulevya zilizonaswa na wanajeshi wa Australia wanaoshika doria katika ufuo wa bahari Hindi,ufukweni mwa Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanasa kilo 2 za Heroin Kenya

Watu watano wamekamatwa baada ya kupatikana na kilo mbili za mihadarati aina ya heroin, huku raia mmoja wa Uingereza akisakawa Kenya

 

10 years ago

Bongo5

Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)

Rapper na mtangazaji wa kituo cha EFM, Baghdad amepunguza takriban nusu ya uzito wake. Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80! Baghdad enzi akiwa mnene Baghdad alivyo sasa “Yaweza kukuchukua muda kuelewa ka ukielewa ukasindwa kuamini haswa utakapostaajabu kuona picha mbili za mtu mmoja. Nilikuwa na kilo 150 now 80, size […]

 

5 years ago

Michuzi

KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO

 Na Mwamvua Mwinyi, PwaniMKOA wa Pwani ,umefanya mnada wa kwanza wa zao la kibiashara la ufuta ,na kufanikiwa kuu tani 1,231 kati ya tani 3,118 zilizokwenda sokoni kwa bei ya juu ya sh.2,172 kwa kilo moja.
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA MOJA, WANAFUNZI 370

Wanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi Nyamarere mkoani Geita wakiwa darasani. Picha na Jackline Masinde. Na Jackline Masinde, MwananchiNi ‘majanga’ ya elimu katika baadhi ya shule za msingi mkoani Geita ambako hadi leo wanafunzi wanasomea chini ya miti, wanaketi kwenye mawe.Geita. Tunaweza kusema ni majanga ya elimu. Tunasema hivi maana ni kama hakuna lugha rahisi ya kuelezea hiki kinachoonekana katika shule mbili za msingi; Nyamarere na Bweya zilizopo katika Halmashauri ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Flight 370 crashed into Indian Ocean

>Malaysia’s Prime Minister, Najib Razak, said yesterday that further analysis of satellite data confirmed that the missing Malaysian airliner went down in the southern Indian Ocean.

 

10 years ago

Dewji Blog

Singida wana ziada ya chakula tani 520,370

unnamed (14)

Katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan, akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa malengo ya kilimo kwa msimu wa 2013/2014 na malengo ya kilimo kwa msimu wa 2014/2015 mbele ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC).

Na Nathaniel Limu, Singida

MKOA wa Singida,umefanikiwa kuvuna nafaka ya chakula tani 913,143 kwa msimu wa 2013/2014, na hivyo kuwa na ziada ya chakula tani 520,370.

Hayo yamesemwa na Katibu tawaka mkoa wa Singida,Liana Hassan,wakati akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa...

 

11 years ago

TheCitizen

INTERNATIONAL ROUNDUP: From takeoff to vanishing: What might have happened to Flight 370

Kuala Lumpur. The night sky was clear above the clouds, and the last glimmer of a setting half-moon had faded when Malaysia Airlines Flight 370, cruising at 35,000 feet over the Gulf of Thailand, approached the border between Malaysian and Vietnamese airspace on its usual route to Beijing. What happened next should have been routine for a twice-daily milk run between two of Asia’s most important cities. Air traffic controllers outside Kuala Lumpur usually hand the jet off to their...

 

10 years ago

Mwananchi

Singida ina ziada ya tani 520,370 ya chakula

Mkoa wa Singida umefanikiwa kuvuna mazao ya chakula tani 913,143 katika msimu wa 2013/2014, hivyo kuwa na ziada ya chakula ya tani 520,370.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani