ACT walia kiongozi wao kuuawa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha ACT-Tanzania kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wote waliohusika na tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Masigo wilayani Mlele mkoani Katavi, Christian Kahongo.
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, ilieleza kuwa chama hicho kinalaani mauaji hayo ya kinyama ambayo hayaendani na haki za binadamu.
Alisema walimkata kichwa na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jlmIGxG1Nuo/VMYAiQbcr1I/AAAAAAAAnJ0/9updcQY8OUk/s72-c/act.png)
ACT Walia Kiongozi wao Kuuawa......Ni yule Aliyechinjwa Kinyama na Kupikwa kwenye Sufuria kama Nyama ya Kuku
![](http://3.bp.blogspot.com/-jlmIGxG1Nuo/VMYAiQbcr1I/AAAAAAAAnJ0/9updcQY8OUk/s1600/act.png)
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Utata kuhusu kuuawa kiongozi wa IS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaK7NJ*2n1eOtkenHuDuV39NDwwweRQHd2DrH2ZmCRrTKPhGrCGlhpHAS2KnVRYMWrlhadSo*hW8ObaocagSf0b-/Chadema.jpg?width=650)
KIONGOZI CHADEMA ADAIWA KUUAWA KWA LIBWATA
10 years ago
Mwananchi25 May
TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Wanakijiji Hongwa walia na mwenyekiti wao
WANANCHI wa Kijiji cha Hongwa Kata ya Kinamapula Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama, wamemlalamikia Mwenyekiti wao kwa ufisadi aliofanya katika miradi ya maendeleo ikiwemo kuuza ng’ombe wa kijiji hicho. Walitoa...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Alshabaab lachukua mwili wa kiongozi wao
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ggewrTbaYew/VOBUZc0MTTI/AAAAAAAAP6w/Retbl5r_FbE/s72-c/3.jpg)
JUMUIYA YA DAWOOD BOHRA, TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KIONGOZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggewrTbaYew/VOBUZc0MTTI/AAAAAAAAP6w/Retbl5r_FbE/s640/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzCpHapoaBBKHYi7jT8WABl4jMl2tn7wJv7w2cMqoqRg-C8jM9*3tahu2sMfBu1oO7CdxByLjokZNQMQhfCsawuF/IMG20150504WA0004.jpg)
MADEREVA WA HAISI IGOMA BUHONGWA WAMBANA KIONGOZI WAO KUHUSU MGOMO
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Kiongozi wa ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amesema anastahili kupata pongezi