Alshabaab lachukua mwili wa kiongozi wao
Kundi la kigaidi la Al Shabaab limeuchukua mwili wa kiongozi wao anayedaiwa kuuwawa na kombora la Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania26 Jan
ACT walia kiongozi wao kuuawa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha ACT-Tanzania kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wote waliohusika na tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Masigo wilayani Mlele mkoani Katavi, Christian Kahongo.
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, ilieleza kuwa chama hicho kinalaani mauaji hayo ya kinyama ambayo hayaendani na haki za binadamu.
Alisema walimkata kichwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzCpHapoaBBKHYi7jT8WABl4jMl2tn7wJv7w2cMqoqRg-C8jM9*3tahu2sMfBu1oO7CdxByLjokZNQMQhfCsawuF/IMG20150504WA0004.jpg)
MADEREVA WA HAISI IGOMA BUHONGWA WAMBANA KIONGOZI WAO KUHUSU MGOMO
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ggewrTbaYew/VOBUZc0MTTI/AAAAAAAAP6w/Retbl5r_FbE/s72-c/3.jpg)
JUMUIYA YA DAWOOD BOHRA, TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KIONGOZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggewrTbaYew/VOBUZc0MTTI/AAAAAAAAP6w/Retbl5r_FbE/s640/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jlmIGxG1Nuo/VMYAiQbcr1I/AAAAAAAAnJ0/9updcQY8OUk/s72-c/act.png)
ACT Walia Kiongozi wao Kuuawa......Ni yule Aliyechinjwa Kinyama na Kupikwa kwenye Sufuria kama Nyama ya Kuku
![](http://3.bp.blogspot.com/-jlmIGxG1Nuo/VMYAiQbcr1I/AAAAAAAAnJ0/9updcQY8OUk/s1600/act.png)
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Wananchi wameedhimisha mwaka mmoja toka waondokewe na kiongozi wao Mzee Nelson Mandela ambaye aliiongoza nchi hiyo kutoka mikononi mwa Makaburu baada ya kufungwa miaka 27 jela.
Maadhimisho hayo yametanguliwa na ibada ya maombi ambapo wamekaa kimya kwa dakika tatu, na kisha kuweka mashada za maua wakiongozwa na wazee waliopigana na makaburu wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, kumekuwa na upulizaji wa vuvuzela nchini kote, kugonga kengele, ngoma, na kutakuwa na mechi ya mchezo wa kirafiki wa kriketi.
Mandela alikuwa Rais wa kwanza mzalendo kuiongoza Afrika Kusini kwa kipindi cha muhula mmoja wa miaka mitano kuanzia mwaka 1994 hadi 1999 alipoachia madaraka kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-y77kkEaMdpc/VP8NhCAoN7I/AAAAAAAHJXA/6gSdeWqMD6U/s72-c/kaseja.jpg)
Sakata la Kaseja na Yanga lachukua sura mpya
![](http://2.bp.blogspot.com/-y77kkEaMdpc/VP8NhCAoN7I/AAAAAAAHJXA/6gSdeWqMD6U/s1600/kaseja.jpg)
Sakata la mlinda mlango Juma Kaseja na waajiri wake Yanga limechukua sura mpya baada ya kutakiwa kumalizana nje ya mahakama.
Kesi hiyo ambayo iliendelea leo katika Mahakama ya Kazi baada ya Februari 12 kuahirishwa kutokana na wakili anayemsimia mlinda mlango huyo Samson Mbamba kuunguliwa ofisi yake ambapo nyaraka mbali mbali zikiwemo za Kaseja kuungua na kuomba kupewa upya nyaraka nyingine na kesi hiyo kuendelea leo.
Kesi hiyo ambayo inasuluhishwa na Muheshimiwa...
10 years ago
Mwananchi17 Feb
MADAI: Sakata la Rais CBE lachukua sura mpya
10 years ago
Dewji Blog13 May
Breaking News!: Jeshi lachukua Nchi Burundi, Rais Nkurunzinza akiwa Tanzania
Pierre Nkurunziza -Pichani
Na MASHIRIKA YA HABARI
Ripoti kutoka Bujumbura, nchini Burundi zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi.
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.
Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon’golewa madarakani.
Meja...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hFzvJZdbE6U/VZOfzFD8xVI/AAAAAAAAgZo/eKB3F3WVVzc/s72-c/4.png)
Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFzvJZdbE6U/VZOfzFD8xVI/AAAAAAAAgZo/eKB3F3WVVzc/s640/4.png)
SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na kufikishwa katika vyombo vya dola.
Mirumbe alitoa agizo hilo jana ofisini kwake katika kikao ambacho...