Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alshabaab lachukua mwili wa kiongozi wao

Kundi la kigaidi la Al Shabaab limeuchukua mwili wa kiongozi wao anayedaiwa kuuwawa na kombora la Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

ACT walia kiongozi wao kuuawa

Samson-MwigambaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha ACT-Tanzania kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wote waliohusika na tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Masigo wilayani Mlele mkoani Katavi, Christian Kahongo.

Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, ilieleza kuwa chama hicho kinalaani mauaji hayo ya kinyama ambayo hayaendani na haki za binadamu.

Alisema walimkata kichwa na...

 

10 years ago

GPL

MADEREVA WA HAISI IGOMA BUHONGWA WAMBANA KIONGOZI WAO KUHUSU MGOMO

Maderava wakimbana  mwenyikiti wao aliefahamika kwa jina la Dede. Maderava wakiendelea na maongezi na mwenyikiti wao aliefahamika kwa jina la Dede. Baadhi ya Madereva wa Hai wa Gari za Igoma Buhongwa wakimbana mwenyekiti wa madereva Mr. Dede, katika kituo cha Haisi Igoma, kuhusu mgomo unaoendelea leo Dar es salaam na mikoa mingine, Madereva hao wanadai kwanini wao hawajagoma wakati mgomo unahusu nchi nzima, Mwenyekiti huyo...

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA DAWOOD BOHRA, TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA KIONGOZI WAO

Binti wa jumuiya ya Dawood Bohra nchini Tanzania, akiwa ameshikilia bango lenye picha ya Sheikh Syedna Burhanuddin (RA), wakati wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa kiongozi wa 53 wa madhehebu hayo, Syedna Mufaddal Saifuddin, (TUS), jijini Dar es Salaam Jumamosi jioni, Februari 14, 2015. Maadhimisho hayo yalipambwa na matembezi ya waumini wa madhehebu hayo, ambapo vijana walionyesha vipaji vyao, michezo namavazi mbalimbali yakiwemo yale ya kimasai. Pia matembezi hayo yaliongozwa na brass band ya...

 

10 years ago

Vijimambo

ACT Walia Kiongozi wao Kuuawa......Ni yule Aliyechinjwa Kinyama na Kupikwa kwenye Sufuria kama Nyama ya Kuku

CHAMA cha ACT-Tanzania kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wote waliohusika na tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Masigo wilayani Mlele mkoani Katavi, Christian Kahongo.Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, ilieleza kuwa chama hicho kinalaani mauaji hayo ya kinyama ambayo hayaendani na haki za binadamu.Alisema walimkata kichwa na kukitenganisha kabisa na kiwiliwili...

 

10 years ago

CloudsFM

Wananchi wameedhimisha mwaka mmoja toka waondokewe na kiongozi wao Mzee Nelson Mandela ambaye aliiongoza nchi hiyo kutoka mikononi mwa Makaburu baada ya kufungwa miaka 27 jela.

Maadhimisho hayo yametanguliwa na ibada ya maombi ambapo wamekaa kimya kwa dakika tatu, na kisha kuweka mashada za maua wakiongozwa na wazee waliopigana na makaburu wakati wa utawala wa ubaguzi wa rangi, kumekuwa na upulizaji wa vuvuzela nchini kote, kugonga kengele, ngoma, na kutakuwa na mechi ya mchezo wa kirafiki wa kriketi.


Mandela alikuwa Rais wa kwanza mzalendo kuiongoza Afrika Kusini kwa kipindi cha muhula mmoja wa miaka mitano kuanzia mwaka 1994 hadi 1999 alipoachia madaraka kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Sakata la Kaseja na Yanga lachukua sura mpya

Na Ripota wa Globu ya Jamii,Dar
Sakata la mlinda mlango Juma Kaseja na waajiri wake Yanga limechukua sura mpya baada ya kutakiwa kumalizana nje ya mahakama.
Kesi hiyo ambayo iliendelea leo katika Mahakama ya Kazi baada ya Februari 12 kuahirishwa kutokana na wakili anayemsimia mlinda mlango huyo Samson Mbamba kuunguliwa ofisi yake ambapo nyaraka mbali mbali zikiwemo za Kaseja kuungua na kuomba kupewa upya nyaraka nyingine na kesi hiyo kuendelea leo.
Kesi hiyo ambayo inasuluhishwa na Muheshimiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

MADAI: Sakata la Rais CBE lachukua sura mpya

>Sakata la Rais wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dar es Salaam, Ramadhan Kilungi kudaiwa kughushi saini na kuiba Sh32 milioni katika akaunti ya Serikali ya Wanafunzi wa Chuo hicho (Cobeso), limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wanafunzi kudai kuwa utawala wa chuo hicho unahusika.

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News!: Jeshi lachukua Nchi Burundi, Rais Nkurunzinza akiwa Tanzania

_82974623_027185739-1Pierre Nkurunziza -Pichani

 Na MASHIRIKA YA HABARI

Ripoti kutoka Bujumbura, nchini Burundi zinasema kuwa kamanda mmoja wa kijeshi ametangaza kuwa hamtambui tena Pierre Nkurunziza kama rais wa Burundi.

Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.

Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon’golewa madarakani.

Meja...

 

10 years ago

Vijimambo

Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya


SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na kufikishwa katika vyombo vya dola.

Mirumbe alitoa agizo hilo jana ofisini kwake katika kikao ambacho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani