Diwani Chadema adaiwa kumpiga mjamzito
Asifiwe George na Veronica Romwald, Dar es Salaam
DIWANI wa Kata ya Saranga wilayani Kinondoni, Ephraim Kinyafu (CHADEMA) anadaiwa kumshambulia kwa mateke na fimbo, Aisha Mosses, ambaye ni mjamzito akimtuhumu kuwa ni mamluki.
Tukio hilo lilitokea jana katika Mtaa wa Saranga ambako hatua ya uandikishaji wananchi kwa ajili ya kurudia uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao awali ulivurugika, lilikuwa likiendelea.
Akizungumza na MTANZANIA shuhuda wa tukio hilo, Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Naibu Spika adaiwa kumpiga mgombea CCM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX4C3Rvebol77DFeyhzl9UaUzTpOGNYmsLb6l9SB2t6lrqxD75j1arwE0DP-hvqxqyJrmBWFsfmV*JVHQSr5hu8c/Chid.jpg)
MADAI: CHID BENZ ADAIWA KUMPIGA PAPARAZI
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Shy-Rose adaiwa kumpiga mbunge mwenzake Nairobi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoaSsKSKuEtgbE1OMiZiYVzIf4lLdJqh9z3-OIZ2xwZez8PgTlGh2NLZozV9F4aw0NDWqen4Gpe1Lw7fvtsZye5t/rihannacropped.jpg)
RIHANNA ADAIWA KUWA MJAMZITO
9 years ago
Habarileo30 Nov
Diwani Chadema mbaroni
DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kata ya Mbuga, tarafa ya Mwaya wilayani Ulanga mkoani Morogoro, Mussa Madona, na wenzake sita wametiwa mbaroni na Polisi na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba sita za wananchi wa kijiji cha Iputi.
10 years ago
Habarileo04 Nov
Diwani wa Chadema apongeza serikali
DIWANI wa Kata ya Kilagano Halmashauri ya Wilaya ya Songea Vijijini (Chadema), Batholomew Mkwera, amepongeza serikali kwa kumaliza kero mbalimbali katika kata yake.
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Diwani CHADEMA akemea uhalifu
DIWANI wa Ilomba, Dickson Mwakilasa (CHADEMA) amesema vitendo vya uhalifu vinavyofanywa havipaswi kufumbiwa macho na wazazi wana wajibu wa kukemea tabia hiyo. Mwakilasa alitoa rai hiyo alipotoa kauli hiyo mjini...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Diwani CHADEMA awashukia viongozi
MWENYEKITI wa Madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kinondoni, Boniface Jacob amewashukia baadhi ya viongozi wa manispaa hiyo na mkoa wa Dar es Salaam, kwa kutoa...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Diwani Chadema akisaliti chama