Diwani CHADEMA akemea uhalifu
DIWANI wa Ilomba, Dickson Mwakilasa (CHADEMA) amesema vitendo vya uhalifu vinavyofanywa havipaswi kufumbiwa macho na wazazi wana wajibu wa kukemea tabia hiyo. Mwakilasa alitoa rai hiyo alipotoa kauli hiyo mjini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Nov
Diwani Chadema mbaroni
DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kata ya Mbuga, tarafa ya Mwaya wilayani Ulanga mkoani Morogoro, Mussa Madona, na wenzake sita wametiwa mbaroni na Polisi na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba sita za wananchi wa kijiji cha Iputi.
10 years ago
Habarileo04 Nov
Diwani wa Chadema apongeza serikali
DIWANI wa Kata ya Kilagano Halmashauri ya Wilaya ya Songea Vijijini (Chadema), Batholomew Mkwera, amepongeza serikali kwa kumaliza kero mbalimbali katika kata yake.
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Diwani CHADEMA awashukia viongozi
MWENYEKITI wa Madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kinondoni, Boniface Jacob amewashukia baadhi ya viongozi wa manispaa hiyo na mkoa wa Dar es Salaam, kwa kutoa...
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Diwani Chadema akisaliti chama
9 years ago
Habarileo04 Nov
Diwani wa Chadema atangaza kushirikiana na serikali
DIWANI wa kata ya Dodoma Makuru Mjini hapa, Pascal Matula (Chadema) amesema yupo tayari kushirikiana na Serikali inayoingia madarakani ili kuwaletea wananchi maendeleo. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Matula alisema kutotoa ushirikiano ni kuikataa serikali wakati nao wamechaguliwa na wananchi kwa kupigiwa kura.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Diwani CCM Arusha atimkia CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Arusha kimepata pigo baada ya aliyewahi kuwa Diwani wake, Amos Mwanga kutimkia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mwanga alisema jana ameamua kujiunga na CHADEMA...
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Diwani CHADEMA ahofia kubambikiziwa kesi
DIWANI wa Turwa, Charles Mbusilo (CHADEMA), ameeleza kuhofia kubambikiziwa kesi na baadhi ya askari polisi endapo mamlaka ya juu haitalishugulikia mapema sakata la kukamatwa na polisi katika mikoa mitatu tofauti...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Meya atwangana ngumi na diwani CHADEMA
OFISI za Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza, jana ziligeuka uwanja wa masumbwi baada ya Mstahiki Meya, Henry Matata na madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuchapana...
11 years ago
Habarileo30 Jan
Slaa, Mnyika wamkataa Diwani wa Chadema
KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa na Katibu Mwenezi wake, John Mnyika wamemkataa diwani wa chama hicho wa Kata ya Majengo mjini Kahama Mkoa wa Shinyanga, Bobson Wambura, wakidai ni msaliti. Viongozi hao wa kitaifa, waliorodhesha tuhuma kadhaa dhidi ya diwani huyo za kuhalalisha kutotakiwa ndani ya chama kwenye mkutano wa hadhara mjini hapa.