Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Slaa, Mnyika wamkataa Diwani wa Chadema

KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa na Katibu Mwenezi wake, John Mnyika wamemkataa diwani wa chama hicho wa Kata ya Majengo mjini Kahama Mkoa wa Shinyanga, Bobson Wambura, wakidai ni msaliti. Viongozi hao wa kitaifa, waliorodhesha tuhuma kadhaa dhidi ya diwani huyo za kuhalalisha kutotakiwa ndani ya chama kwenye mkutano wa hadhara mjini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

IPPmedia

CCM in Slaa, Mnyika murder plot


IPPmedia
CCM in Slaa, Mnyika murder plot
IPPmedia
The major opposition party Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yesterday accused the ruling party CCM of designing a plot to harm some of its members by blowing up a helicopter in Shinyanga municipality back on January 27. The party's ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mnyika amtetea Dk Slaa, amfananisha na mkasa wa Samson, Delilah

Mgombea ubunge wa Jimbo la Kibamba kwa tiketi ya Chadema ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), John Mnyika amewataka wanachama waache kumkebehi au kumkashfu Dk Willibrod Slaa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Wasaliti hawaponi CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kitaendelea kutimua wasaliti na kutaka wananchi kuendelea kuwaunga mkono kwenye Operesheni ‘M4C Pamoja Daima’. Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, alitoa kauli hiyo jana...

 

10 years ago

Habarileo

Mnyika amrithi Zitto Chadema

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemteua tena Dk Willibrod Slaa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho kikuu cha upinzani kwa sasa nchini. Hii ina maana kwamba Dk Slaa mwenye umri wa miaka 65, atashika wadhifa huo hadi mwaka 2019. Alianza kushika nafasi hiyo mwaka 2002, akitoka kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, nafasi aliyoishika kuanzia mwaka 1998.

 

9 years ago

Habarileo

Diwani Chadema mbaroni

DIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kata ya Mbuga, tarafa ya Mwaya wilayani Ulanga mkoani Morogoro, Mussa Madona, na wenzake sita wametiwa mbaroni na Polisi na kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba sita za wananchi wa kijiji cha Iputi.

 

10 years ago

Mtanzania

Mnyika: Chadema tunajiandaa na maandamano kupinga Bunge la Katiba

John Mnyika

Mbunge wa Ubungo, John Mnyika

Michael Sarungi na Grace Shitundu, Dar es Salaama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kipo katika hatua za mwisho za  maandalizi ya  maandamano ya kupinga vikao vya Bunge Maalamu  la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.

Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) kumuagiza Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, kurudi katika meza ya mazungumzo na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)   kunusuru  mchakato wa Katiba...

 

10 years ago

Michuzi

MHE JOHN MNYIKA AMRITHI ZITTO KABWE CHADEMA

DK SLAA,SALUM MWALIM PAMOJA NA JOHN MNYIKA Uchaguzi ndani ya chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA leo usiku huu umefikia tamati kwa kamati kuu ya chama hicho kupata viongozi wake wamwisho ambao ni KATIBU MKUU ,NAIBU KATIBU MKUU BARA pamoja na NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR

MATOKEOKATIBU MKUU --DK WILLBROD SLAA--NAIBU KATIBU MKUU BARA---JOHN MNYIKANAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR--SALUM MWALIMViongozi awa waliteuliwa na mwenyekiti wa chama hicho kama katiba inavyosema na hatimaye baraza kuu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diwani CHADEMA awashukia viongozi

MWENYEKITI wa Madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kinondoni, Boniface Jacob amewashukia baadhi ya viongozi wa manispaa hiyo na mkoa wa Dar es Salaam, kwa kutoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani CHADEMA akemea uhalifu

DIWANI wa Ilomba, Dickson Mwakilasa (CHADEMA) amesema vitendo vya uhalifu vinavyofanywa havipaswi kufumbiwa macho na wazazi wana wajibu wa kukemea tabia hiyo. Mwakilasa alitoa rai hiyo alipotoa kauli hiyo mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani